Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 601
- Thread starter
- #61
Hii kwa mwanamke ni usagaji ukija kwa upande wa mwanaume ndo huwatunaita punyeto.
Kwanza mwanamke unakuwa umekosa nini mpaka uanze kujisaga ina maana hakuna njia mbala ya kujitimizia haja zako mpaka ujisage???
Utakuwa umesaidia wengi ,ebu toa njia mbadala basiiii