Kujichua kwa Wanawake

Kujichua kwa Wanawake

Rapunzel hapo kwenye red wanasema mlamba asali huchonga mzinga na pia bandu bandu huisha gogo huenda huo ukawa mwanzo tu wa wewe kuwa addicted so you better stop before itss to late.

kwenye green ni kweli kuna mambo mengi tunayoyafanya ingawa Mungu hapendi na yeye analielewa hilo na yuko tayari kutusamehe lakini tu ikiwa makosa hayo hatuyafanyi kimakusudi na tunajitahidid kupambana na mielekeo ya dhambi,kwa hiyo tuelewe kuwa ikiwa tunatenda dhambi pasipo kujua au kutokana tu na mapungufu yetu sisi wandamu Mungu yuko tayari kabisa kutusamehe,lakini ikiwa tunatenda kwa kujua kabisa hilo ni swala jingine.

penye pink mimi nafikiri kila jambo lina uzito wake,mume akikufuma unajiridhisha itamuumiza sana na kumshushia hadhi yake kama mwanaume atabaki na maswali kama vile ina maana mimi simridhishi? na hata hilo linaweza kumfanya awe na wasiwasi juu yako kwamba kwa kuanza kujichua huenda kuna siku utaamua kabisa kuwa na mwanaume anayekuridhisha kwa kuwa yeye hakutoshelezi mahitaji yako na pia uasherati una uzito pia kwani mume atajisikia vibaya kuona kuwa anashare na mtu mwingine mke wake mpendwa na kuanzia hapo nadhani hatakuwa tena na imani nawe tena na kama unavyojua huenda ikapelekea kuvunjika kwa ndoa.so kila jambo lina uzito wake.

kwa hiyo Rapunzel ni vyema ikiwa ukajitahidi kuacha,najua hilo si jambo rahisi lakini unaweza ukitaka na si lazima uache papo kwa hapo unaweza kupunguza kidogo kidogo mpaka ukajikuta umeacha kabisa na hata ushindwe mara ngapi usife moyo you can do it i wish you the best Rapunzel.
Blue G nikujibu ifuatavyo:-
Kwanza kabisa sijakuwa addicted mpk nipoteze hamu ya kufanya mapenzi.

Tukija kwa upande wa dhambi hakuna mambo mabaya ambayo yanampendeza mungu but still binadamu tunayafanya japo inategemea na uzito wa dhambi yenyewe ,kuna ulevi ,uzinzi tena mbaya zaidi na wake au waume za watu but still wanadamu tunafanya.

Nashukuru kwa kunipa mawazo nitafute njia mbadala pindi my hubby asipokuwepo but sijajua ni njia ipi zaidi ya hiyo

Na je ukifumwa unajichua na kufumaniwa na mwanaume mwingine lipi kosa lenye uzito hapo?
 
Last edited by a moderator:
Pole swthrt...unakumbuka tuliambiwa mpaka hospital ya rufaa?
Ndo nafwatilia barua!
Bby najua tayari ushapata majibu na dawa ushapewa....naomba kuifuata baadae coz nashindwa hata kula wala kunywa...!
Nimeambiwa umepewa wewe so nitakutafuta unipe dawa yangu nisiteseke bure mumeo
 
yLBe8Qq.gif




Umeshajishitaki mwenyewe. Si unaona hizo shahawa zinaruka juu ya vidole vyako.....Siku nyingine kaoshe vidole kabla ya kuvinyoosha.
 
hata ww ni mmoja wao?



Sasa, kwani blow job ni nini? Ile ni masturbation inayofanywa na mwingine kwa ajili yako. Maana nyingine kama vile demu anakufanyia favor au kwa wale wapenda jinsia moja ni sawa na kulambwa dushelele lako na dume mwenzio ili umwage maji matakatifu.
 
Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a a little help from ur hand (kupiga puri au punyeto sounds manly) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake tufanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko comfortable kulizungumzia au kukili kuwa tukizidiwa huwa tunajisaidia.wakati mwingine mtu unashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mapaka upige moja ndio nguvu zinakujahasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu.

Kujichua au kujichezea ni njia pekee ya kujifunza kufika kileleni, kuujua na kuuelewa mwili wako na kujua utamu wa ngono ukoje(incase hujui utamu huo ukoje). Kwa kujichua utajua jinsi kutoa na kupokea raha ya kufanya mapenzi na mpenzi wako, utasaidia ngozi yako kuwa nzuri na laini (mambo ya Urembo hayo) na vilevile utajua jinsi ya kuzuia (kuchelewa kwa makusudi kufikia mshindo) au kumsubiri mwenzio ili mfike pamoja, hakuna raha ya kufanya mapenzi kama kufika kwa wakati mmoja.

Faida za kujichua/chezea:-
1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi)
2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanyamapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.
3)Kujua vipele vyako viliko.
4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda.
5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine.

*Kama kuna faida nyingine unaijua basi si mbaya kama utachangia hapa.

Madhara ya kujichua/chezea:-
1)Sijawahi kushuhudia wala kusikia tatizo lolote kutokana na kujichaua kiasili.

2)Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos ni kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea dubwana hizo, kifo kutokana na shock ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo kuingia.

Ikiwa kuna madhara mengine unayajua kuhusiana basi ni vema ukachangia hapa

Tchaooooo
Kumbe ni ya muda hii kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom