Naomba tukumbushane kujichanganya na kujikanyaga kwa watendaji wa serikali ya ccm ili hatimaye tuone kama kweli kuna haja ya kuendelea kuwa na serikali hii au tuitupe nje:
1. DCI Manumba kusema Mwakyembe hajalishwa sumu halafu waziri wa Afya anaikana ripoti hiyo
2. Spika wa mbunge kusema rais ameshasaini ongezeko la posho kwa wabunge halafu ofisi ya rais ikakana hilo
3.
4.
1. DCI Manumba kusema Mwakyembe hajalishwa sumu halafu waziri wa Afya anaikana ripoti hiyo
2. Spika wa mbunge kusema rais ameshasaini ongezeko la posho kwa wabunge halafu ofisi ya rais ikakana hilo
3.
4.