Kujenga Apartments

Kuna namna unahitaji ushauri wa kitaalamu kwa kutumia "Leverage" ili ufanye vitu vikubwa kwa pesa kidogo.
 
Mil 30 hapati kiwanja cha kujenga hizo nyumba anazotaka kwa ukubwa huo kwa Goba labda angalau mil 50 na hapo nahs bado ndogo Goba viwanja vimechangamka sasa hivi na kadri siku zinavoenda kodi za nyumba zinakuja juu.
 
Mil 30 hapati kiwanja cha kujenga hizo nyumba anazotaka kwa ukubwa huo kwa Goba labda angalau mil 50 na hapo nahs bado ndogo Goba viwanja vimechangamka sasa hivi na kadri siku zinavoenda kodi za nyumba zinakuja juu.
Bora nikazijenge mapinga. Atleast naweza pata plot kwa unafuu na kubwa
 
Hiyo bajeti Yako inatosha kabisa ila inabidi uwe makini sana tena sana inabidi ujue kulia lia update punguzo kubwa pia Fanya tafiti kabla hujanunua material yoyote ujue bei location yanapopatikana Kwa wingi Cha mwisho jua kua payback period yake ni muda mrefu sana ndio pesa yako itarudi ila gharama za kuziendesha hizo apartment ni kubwa kidogo maana Kuna viujenzi vya mara Kwa mara, na usicheke na yoyote Hata kama anakutomba vizuri ni hayo tu
 
Komaa na Morogoro Rd ndiyo rafiki kwa uwekezaji wa nyumba kwa sasa huko Mapinga sikushauri,ukikosa kiwanja Goba au bei ikawa kubwa sana pandisha Kibamba.

Leo nina mdogo wangu alikuwa anapatania kiwanja Kibamba Luguruni 2km kuingia ndani jamaa wenye nacho wanataka 16mill so bado huko kuna viwanja nafuu kidogo.
 
Ushauri, kwanza tafuta kiwanja sehemu ambayo ni potential, watu wengi wanapenda kupanga sehemu ambazo zinafikika na ambazo zimeshaendelea
 
Kama kweli wewe ni dada nifuate nikupe ushauri mzuri Hadi utaupenda.Lakini kama ni dume usije
 
Njoo mapinga kumetulia ndio nipo huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…