Lazima ujamiane na mwenzio mjamzito maana unasaidia kupanua njia ya mtoto kutoka
kujamiiana wakati wa ujauzito kuna madhara kwa mtoto aliye tumboni................ Najua wapenda ngono watanibishia, lakini huo ndio ukweli wenyewe.
Ikumbukwe kwamba mtoto aliye tumboni hutumia pumzi ya mama, hivyo basi wakati tendo la ndoa linapofanyika na mama anapotaka kufika kileleni kunakuwa namabadiiko makubwa ya pumzi na hiyo humsababisha mtoto kuhangaika kule tumboni. Inaelezwa kwamba wakati mwingine husababisha kifo cha mtoti tumboni...............
Wanawake wanalazimika kufanya tendo hilo wakati wa ujauzito kwa sababu ya kulinda ndoa zao, wanawajua waume zao wakikosa tendo kwa muda mrefu, watadesa nje......................
mbona kizungulukuti!! Nimpe nisimpe ????unaweza ukajikuta mapumziko yanakuwa ya muda mrefu na kupelekea kupoteza mpenzi/mume kabisa. We endelea kumpa tu la muhimu hapo ni kwamba missionary style should be foregone for sometime
Kujamiiana wakati wa ujauzito kuna madhara kwa mtoto aliye tumboni................ najua wapenda ngono watanibishia, lakini huo ndio ukweli wenyewe.
Ikumbukwe kwamba mtoto aliye tumboni hutumia pumzi ya mama, hivyo basi wakati tendo la ndoa linapofanyika na mama anapotaka kufika kileleni kunakuwa namabadiiko makubwa ya pumzi na hiyo humsababisha mtoto kuhangaika kule tumboni. inaelezwa kwamba wakati mwingine husababisha kifo cha mtoti tumboni...............
Wanawake wanalazimika kufanya tendo hilo wakati wa ujauzito kwa sababu ya kulinda ndoa zao, wanawajua waume zao wakikosa tendo kwa muda mrefu, watadesa nje......................
mbona kizungulukuti!! Nimpe nisimpe ????