Kujamiana kipindi cha hedhi kwa mwanamke!

Kujamiana kipindi cha hedhi kwa mwanamke!

Binafsi nilikosa ushahuri wa kumpatia huyu Dada imeniuma sana nikaona nililete jamvini wajuzi wamjuze, uamuzi aliokuwa nao hadi sasa ni kwenda kwa mamamkwe kushtakia mumewe.
Binafsi ninaona hata kinyaa kumwalia huyu baba kwani ninamfahamu, hainiingi akilini kuvumilia siku 3 or 4 or 5 mkeo awemsafi inawashinda nn nyie wanaume sasa mke akikifungua itakuaje poo na hv hawajajaliwa mtoto au ndoa mpya ndio zinavyo kuwa sie tulioolewa zamani vya digital hatuviziwezi
kimsingi hakuna tatizo ila japo kuwa uwezekano wa kuambukizana magonjwa ya ngono ni mkubwa zaid wakati wa hedi na hii ni kwa mwanamke. kama mume ni mwaminifu basi wala sio tatizo.

sio uchawi kama walivyosema wengine wala hakuna magonjwa ya shipa sijui.............

kama mke hajiskii hamu ya kubiduka basi mumewe humbaka na hili sasa ni kosa lkn kama mke mwenyewe anahamu basi ruksa ajiswafi vizuri kisha atoe dozi akimaliza ajiswafi na kujistiri.
 
Hv inakuwa mtoto anatupwa jaman
 

Attachments

  • 1386067516728.jpg
    1386067516728.jpg
    31.8 KB · Views: 181
Madhara atakayopata huyo dada ni makubwa kama kupata magonjwa ya ngono fasta kama mumewe ana tatizo hilo mana kile kipindi m/mke mishipa yake ya damu zimebast that's why anableed, so ni rahis sn kuathirika, the same to mwanaume.
 
Lol uchafu mtupu

Kuna madhara sana haswa magonjwa nyemelezi lol mambo mengine hadi kinyaa
 
Mumewe ni mshirikina huyo wewe na uchafu wote huo bado anaenjoy?
Mapenzi uchafu....... Namaanisha kama unaacha kwa sababu ni uchafu, basi usifanye kabisa hata kama hayupo kwenye hedhi..... hebu fikiria....
1. Unakula mate... uchafu..
2. Unachumvika... Uchafu..
3. Anakonika... Uchafu..
4. Mnalambana sehemu mbalimbali za mwili, yakiwemo masikio, tena wengine hadi 0713... Uchafu...
 
Kistaarabu haipendezi,lakini haina madhara.vilevile kuna hatari ya kupata mimba isiyotarajiwa.
 
Binafsi nilikosa ushahuri wa kumpatia huyu Dada imeniuma sana nikaona nililete jamvini wajuzi wamjuze, uamuzi aliokuwa nao hadi sasa ni kwenda kwa mamamkwe kushtakia mumewe.
Binafsi ninaona hata kinyaa kumwalia huyu baba kwani ninamfahamu, hainiingi akilini kuvumilia siku 3 or 4 or 5 mkeo awemsafi inawashinda nn nyie wanaume sasa mke akikifungua itakuaje poo na hv hawajajaliwa mtoto au ndoa mpya ndio zinavyo kuwa sie tulioolewa zamani vya digital hatuviziwezi
Bora Huyo Asiyeweza Kuvumilia hizo Siku 3/4 hadi 5, Mimi Masaa tu 3 Kuvumilia ni Shughuli Sijui NIMELOGEZEWA ktk PAPUCHA!:smile-big:
 
Sasa angeenda kupata wapi msaada? Bora hivyo kuliko nyumba ndogo au madada poa,maana ni bora kuzoa uchafu kuliko UK..,KSWND,KSNN nk
Imeandikwa: Mke hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mumewe na mume hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mkewe. Pia msinyimane.

haijalishi na sio kila handiko....malizia mwenyewe
 
Back
Top Bottom