Usaili huo ni wa Oral au written?Habari zenu wote humu,, Jana jioni nimepigiwa simu na tcu kuhudhuria usahili tar 7 pale necta nafasi ya admission officer mwenye kujua aina ya maswali anijuze tafadhali,,
Mi hawajaniambia kama ni oral ama written,, ila tupo nyomi hatari kuna awamu mbili moja inaanza sa tatu asbh nyingine saa tano,, watu zaidi ya 200
Ni Usaili wa kuandika, hata mimi nilipigiwa simu jana but nilimuuliza akaniambia ni written interview.Usaili huo ni wa Oral au written?