cpb Senior Member Joined Nov 1, 2014 Posts 156 Reaction score 88 Jun 30, 2022 #101 Ada ipi wanakata yaani wakulipe 150,000 bado waikate daa hii nchi ngumu sana
Doreen20 Senior Member Joined Oct 12, 2018 Posts 137 Reaction score 77 Jun 30, 2022 #102 Kunguru wa Manzese said: Internship plus wataanza kukata ada yao Click to expand... Ww ulipata
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,208 Jun 30, 2022 #103 Doreen20 said: Ww ulipata Click to expand... Hapana jamaa zangu wa karibu walipata mimi mpka leo nimeshindwa kuweka profile picture inanigomea
Doreen20 said: Ww ulipata Click to expand... Hapana jamaa zangu wa karibu walipata mimi mpka leo nimeshindwa kuweka profile picture inanigomea
N Niambie Tu Senior Member Joined May 29, 2022 Posts 198 Reaction score 363 Jun 30, 2022 #104 cpb said: Ada ipi wanakata yaani wakulipe 150,000 bado waikate daa hii nchi ngumu sana Click to expand... Hawakati Bana Ila hiyo hela Yenyewe inatoka Ikijisikia ....Unawezaka hata mwezi na kidogo usiipate
cpb said: Ada ipi wanakata yaani wakulipe 150,000 bado waikate daa hii nchi ngumu sana Click to expand... Hawakati Bana Ila hiyo hela Yenyewe inatoka Ikijisikia ....Unawezaka hata mwezi na kidogo usiipate
samtz1 JF-Expert Member Joined Nov 8, 2015 Posts 1,197 Reaction score 1,372 Jul 1, 2022 #105 Kunguru wa Manzese said: Hapana jamaa zangu wa karibu walipata mimi mpka leo nimeshindwa kuweka profile picture inanigomea Click to expand... Nilidhani hili tatizo ni kwangu ti
Kunguru wa Manzese said: Hapana jamaa zangu wa karibu walipata mimi mpka leo nimeshindwa kuweka profile picture inanigomea Click to expand... Nilidhani hili tatizo ni kwangu ti
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,208 Jul 1, 2022 #106 samtz1 said: Nilidhani hili tatizo ni kwangu ti Click to expand... Tupo wengi sijui ndio wametupunguza kimtindo
samtz1 said: Nilidhani hili tatizo ni kwangu ti Click to expand... Tupo wengi sijui ndio wametupunguza kimtindo