josephangetile
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 101
- 20
Jamani naomba msaada wenu hivi usaili wa polisi kwa form 4 na 6 haujaisha bado? na wa graduate kutoka chuo unaanza lini? coz mara ya mwisho wadau walisema tarehe 3 mwezi huu lazima graduate kutoka vyuoni waitwe mbona kimya? mwenye taarifa naombeni anijuze tafadhali?