Hapo kila hatua wanakaa watu BENCHI boss wangu Jitahidi Pia MUNGU atakufanyia wepesi MKUU.Ndio,mie nimeomba kaya Plant Operator,ratiba yangu inasema naanza Mchujo iyo Jumamosi saa 5,na Jumatatu ni Prac na Jumatano ni Oral sasa hapo sijajua kila hatua ya usaili kuna mchujo wa kuachwa ama chujio ni mwisho wa Usaili,na pia naomba kuuliza mfano katika kigezo walisema na kuweka kigezo cha kuwa na leseni ya udereva na leseni ukawa huna je inakuwaje hapo ikitokea umefaulu usaili