Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,615
- 5,531
Mie sikufanikiwa kuja huko,ila nilikuwa napenda kujua kile kilichojiri huko kwenye mchujo imekuwaje
Mie sikufanikiwa kuja huko,ila nilikuwa napenda kujua kile kilichojiri huko kwenye mchujo imekuwaje
Fani gani weweYa kwetu wamesema kesho jioni
silent_ocean
Matokeo wanatoa kwa njia gani mkuu?Me nawaza hawa jamaa watatoa matokeo on time ili sisi wa practical tujipange upya hiyo j3
Sent using Jamii Forums mobile app
Fani gani wewe
Si bora hiyo nauli ufugie bata tu mkuu
Kila mtu akisema asije kwenye interview nani sasa ataajiriwa??Si bora hiyo nauli ufugie bata tu mkuu
Ila uzuri nyie hamna practical,mimi najiandaa hapa na practical ya j3 japo sijajua kama ntapita au la kwenye theory ya leoYa kwetu wamesema kesho jioni
silent_ocean
Watatuua na gharama za kuishi hapa, inatokea tena huedelei inakua sio poa. Wangetoa jana ingekua poa sana
Wenzao tanapa matokeo ya mchujo yalikuwa cku ile ile yan unalala ushajua kuwa kesho ni oral au kuwa stand kurudi homeWatatuua na gharama za kuishi hapa, inatokea tena huedelei inakua sio poa. Wangetoa jana ingekua poa sana
Hapa sio fair kabisa, unaweza kuondoka kwa kushindwa gharama
Jamaa wapo ontime boss wakisema saa 10 jioni basi kuanzia saa 8 matokeo hutoka kwa hilo wanajitahidi.Me nawaza hawa jamaa watatoa matokeo on time ili sisi wa practical tujipange upya hiyo j3
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wapo ontime boss wakisema saa 10 jioni basi kuanzia saa 8 matokeo hutoka kwa hilo wanajitahidi.
Nipo boss wangu naona TPA wamekuona bhana.Mzee baba upo
silent_ocean
Nipo boss wangu naona TPA wamekuona bhana.
Aliitwa...huyo swali sahihi la kuuliza ni kua unasubiria mshahara ?.