Master Confessor
Member
- Feb 13, 2017
- 77
- 40
Habari za mda huu wakubwa. Natumaini ni wakheri wa afya,
Mimi kijana mtanzania nina umri wa miaka 25, na elimu yangu ni stashahada kwa fani ya maendeleo jamii.
Leo mchana nilipigiwa simu ya usaili kwa nafasi ya sales agent kwa kampuni ya bima jubilee insurance. Sasa ombi langu naomba kujuwa kwamba viwango vyao vya mshahara na commission vipoje.. Asanteni
Mimi kijana mtanzania nina umri wa miaka 25, na elimu yangu ni stashahada kwa fani ya maendeleo jamii.
Leo mchana nilipigiwa simu ya usaili kwa nafasi ya sales agent kwa kampuni ya bima jubilee insurance. Sasa ombi langu naomba kujuwa kwamba viwango vyao vya mshahara na commission vipoje.. Asanteni