GRAPHICS DESIGN
Senior Member
- May 28, 2014
- 103
- 39
Sawa mkuu endelea kuvumilia ipo siku utakula mbivu mzee.Jamaa umepanick sana na BRELA UTUMISHI ukistress nao watakukausha kizazi asee[emoji2][emoji2] mi nimegonga ORAL 3 na juzi nimegonga ya 4 nawasikilizia hapa.
Iko hivo mkuu as long as una kitu cha kukufanya Usogeshe life PSRS huweki stress nao.Sawa mkuu endelea kuvumilia ipo siku utakula mbivu mzee.
Hawa jamaa nakumbuka wanatumaga SMS mapema nilitoka saa 5 asubuhi kwenye paper nafika home saa 7 kasoro SMS imeingi ya kuitwa Oral na wakianzaga kutuma hadi kero maana wanarudia rudia,pia kuwa mvumilivu wenda hawajamaliza bado Mtaitwa tu na mtapata wote Inshallah.
[/QUOTE
Sema walisema wataanza kutuma saa moja jioni,mm pia bado sijapata
Mwana umeshalamba ajiraaJamaa umepanick sana na BRELA UTUMISHI ukistress nao watakukausha kizazi asee😃😃 mi nimegonga ORAL 3 na juzi nimegonga ya 4 nawasikilizia hapa.
My pressure Boss dua tu japo jamaa hawaeleweki Ushikaji mwingi sikuhizi.Mwana umeshalamba ajiraa
kumbe na ww ni mmbetiji mzurieeJamaa umepanick sana na BRELA UTUMISHI ukistress nao watakukausha kizazi asee😃😃 mi nimegonga ORAL 3 na juzi nimegonga ya 4 nawasikilizia hapa.
Hahah nimebet sana Boss wangu Mtu nikimuona analalamika nabaki nacheka tu maana zile hasira zilishaisha sasa.kumbe na ww ni mmbetiji mzuriee
nyota imesha ng'aaaMy pressure Boss dua tu japo jamaa hawaeleweki Ushikaji mwingi sikuhizi.
Kabisa ni muhimu hili.ha ha ha sema ukiwa unabeti unapakujishikiza wala huumii sana mkuu
umepata sms?nyota imesha ng'aaa
Daaaaah saiv mambo ni moto yaan ni sheeedahHamna hata cha ubora washkaji zangu wamerudi juzijuzi wamekaa miaka 3 wamechakaaa, bora hata ungempeleka kijijini ukampa alime heka zake za vitunguu apate hela kuliko kwenda kulilimia jeshi alafu unatoka kapa, so usifurah saanaaa muombee tu Mungu maisha yamebadilika
Mpaka sasa kimya so tusiopata meseji basi tujue UNSUCCESSFULLY na tuendelee kubet Tanescoumepata sms?
ndo hvo wapambanaji wanatafuta maishaIshu ya unemployment unaiona kwenye nyuzi kama hizi.
Wadau wa TPB tupen mrejesho ili tuanze safari ya kurudi kijijini tukaendelee na mambo mengine, kama sms zimetumwa tujuzane mazee.Mm pia nimfanya ila sijapata text najaribu kuvuta subira na kusikilizia wadau kama wameshapata nianze safari ya mkoani nikapalilie mihogo yangu
Kwel yaan tuko njia panda watuchane tu ukwelWadau wa TPB tupen mrejesho ili tuanze safari ya kurudi kijijini tukaendelee na mambo mengine, kama sms zimetumwa tujuzane mazee.
Itakuwa haumo mkuu!!Mm pia niliomba, ila sijapata email yao location ya interview ni wap?