any updates
hivi wewe una shida halafu unataka watu waumize vichwa kufikiria shida yako ni nini na ni nini solution yake? kama hutaki kutoa full details basi hakuna jibu utapata hapa....
niliitaji jibu ndiyo au hapana ,naona unanishushua, ukweli nimeupata kesho jumanne wanamalizi kuitaviu watu wa security , kama ujaitwa ndo imekula kwako na kujaribu kucheck ustarabu mwingine.