lini mkuu walimpigia alikuwa kozi gani
chief lini mkuu amepigiwa maana wana kibao nawauliza wanasema bado
Kwani unajuaje kua hao wana kibao waliofanyiwa usaili kuwa lazima wangepigiwa simu........ Jeshi linaweza likataka watu 4 tu ila likasema linahitajichief lini mkuu amepigiwa maana wana kibao nawauliza wanasema bado
duh! basi kazi kwelikweli ishakula kwetu wengine nilijipa moyo kwa kua kozi yetu tulikuwa kama 200 tukapunguzwa mpaka tukafika 40 ndo tuliruhusiwa kufanya usaili na vipimo kumbe mapanga yalikuwa yanaendelea hatari sana haya mamboKwani unajuaje kua hao wana kibao waliofanyiwa usaili kuwa lazima wangepigiwa simu........ Jeshi linaweza likataka watu 4 tu ila likasema linahitaji
watu kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
duh! basi kazi kwelikweli ishakula kwetu wengine nilijipa moyo kwa kua kozi yetu tulikuwa kama 200 tukapunguzwa mpaka tukafika 40 ndo tuliruhusiwa kufanya usaili na vipimo kumbe mapanga yalikuwa yanaendelea hatari sana haya mambo
ngoja tuoneNdio hivo ndugu katika hao 40 watakaoitwa ni kama 20, watakaokuja ni kama 15, wataomaliza salama ni kama 7....... Huo ndio ukweli mchungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana kibao au ww mwenyewe??chief lini mkuu amepigiwa maana wana kibao nawauliza wanasema bado
ok mkuu leo nimepata info kutoka makao makuu niliwapigia cm wWana kibao au ww mwenyewe??
mkuu nimepata taarifa kwa mdau mmoja amesema wanaendelea na zoezi la kuwapigia watu simu kwani wanawapigia kwa awamu jamaa aliongea naoNdio hivo ndugu katika hao 40 watakaoitwa ni kama 20, watakaokuja ni kama 15, wataomaliza salama ni kama 7....... Huo ndio ukweli mchungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh???????ok mkuu leo nimepata info kutoka makao makuu niliwapigia cm w
mkuu nimepata taarifa kwa mdau mmoja amesema wanaendelea na zoezi la kuwapigia watu simu kwani wanawapigia kwa awamu jamaa aliongea nao
msemaji wa jeshi wewe
Dah...matisho tu hayo..hamna chochote banaNdio hivo ndugu katika hao 40 watakaoitwa ni kama 20, watakaokuja ni kama 15, wataomaliza salama ni kama 7....... Huo ndio ukweli mchungu
Sent using Jamii Forums mobile app
bado siamini kwa kozi yetu tulichujwa kabla ya kuingia kwenye usaili baada ya usaili wakatuambia nyie ndo mliopita njooni kwenye vipomo kesho haiwezekani namba ya watu waliopigiwa simu ikawa ndogo kiasi hichoNdio hivo ndugu katika hao 40 watakaoitwa ni kama 20, watakaokuja ni kama 15, wataomaliza salama ni kama 7....... Huo ndio ukweli mchungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda vipimo viligoma?bado siamini kwa kozi yetu tulichujwa kabla ya kuingia kwenye usaili baada ya usaili wakatuambia nyie ndo mliopita njooni kwenye vipomo kesho haiwezekani namba ya watu waliopigiwa simu ikawa ndogo kiasi hicho