Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Ccm inafaidika na watu wa Aina tatu katika nchi hii
1.Wajinga hapa jumuisha wote walioishia la Saba na wasio jitambua toa wachache.
2.Wanaofaidika na mfumo wa moja kwa moja wa kifisadi wa ccm kwa namna iwayo yote.
3.Wanaoogopa kutekwa na kuwawa kumbuka kwasasa ccm ni chama muumiani
Hao ndio watu wanaoishabikia CCM ambao wengi ukiangalia hapo juu ni kwasababu ya ujinga na uoga ccm kwakutambua faida kubwa ya kundi la tatu ndio maana hujirafikisha kwa dola maana wanajua bila dola watachomwa Moto mitaani kwa Mambo yao !!
Ccm Ni adui wa taifa hili kwa anaejua zuri lililofanywa na ccm lisilo na ufisadi ndani yake aliseme ukitoa Uhuru ulioletwa na tanu wanaojinasibisha nao. CCM lazima kife tuanze upya!!
1.Wajinga hapa jumuisha wote walioishia la Saba na wasio jitambua toa wachache.
2.Wanaofaidika na mfumo wa moja kwa moja wa kifisadi wa ccm kwa namna iwayo yote.
3.Wanaoogopa kutekwa na kuwawa kumbuka kwasasa ccm ni chama muumiani
Hao ndio watu wanaoishabikia CCM ambao wengi ukiangalia hapo juu ni kwasababu ya ujinga na uoga ccm kwakutambua faida kubwa ya kundi la tatu ndio maana hujirafikisha kwa dola maana wanajua bila dola watachomwa Moto mitaani kwa Mambo yao !!
Ccm Ni adui wa taifa hili kwa anaejua zuri lililofanywa na ccm lisilo na ufisadi ndani yake aliseme ukitoa Uhuru ulioletwa na tanu wanaojinasibisha nao. CCM lazima kife tuanze upya!!