Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Habari wana JF Kheri ya mwaka mpya
Siku za hivi karibuni nimekubwa na hali ambayo sijaweza kuielewa kama ni ugonjwa au la, ni kwamba kila niamkapo asubuhi au mda wowote kama nilikuwa nimelala, na kuwa siwezi kushika kitu chochote kwa dakika kama 5 hivi,viganja vya mikono vinakuwa havina nguvu kabisa, kama vile vimekufa nganzi flani hivi. Kuponyeza simu kwa wakati huo ndio zoezi gumu kuliko yote..
Je naomba kujua huu ni ugonjwa ama ni kidu gani? na kama ni ugonjwa ningependa kupata ushauri kutoka kwenu naweza je kuondokana na tatizo hili.
Siku za hivi karibuni nimekubwa na hali ambayo sijaweza kuielewa kama ni ugonjwa au la, ni kwamba kila niamkapo asubuhi au mda wowote kama nilikuwa nimelala, na kuwa siwezi kushika kitu chochote kwa dakika kama 5 hivi,viganja vya mikono vinakuwa havina nguvu kabisa, kama vile vimekufa nganzi flani hivi. Kuponyeza simu kwa wakati huo ndio zoezi gumu kuliko yote..
Je naomba kujua huu ni ugonjwa ama ni kidu gani? na kama ni ugonjwa ningependa kupata ushauri kutoka kwenu naweza je kuondokana na tatizo hili.