" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.
ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!
Unachokosa nyuki halafu muoga eehhhh?????
" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.
ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!
Unachokoza nyuki halafu muoga eehhhh?????
Aiseee, we mwanamke mi nachomoka zangu!
ndoa hufungwa mioyoni mwa wawili wapendanao...haya matarumbeta ni mbwembwe tu za watu wa magharibi...hata ktk vitabu vitakatifu sijaona mahali watu walienda sijui kwa shekhe au mchungaji kwa ajili ya kufungishwa ndoa...cha muhimu ni wawili kuridhiana na baraka za wazazi...ful stop...!
ndoa hufungwa mioyoni mwa wawili wapendanao...haya matarumbeta ni mbwembwe tu za watu wa magharibi...hata ktk vitabu vitakatifu sijaona mahali watu walienda sijui kwa shekhe au mchungaji kwa ajili ya kufungishwa ndoa...cha muhimu ni wawili kuridhiana na baraka za wazazi...ful stop...!
hata mkiiishi kwa muda ili muweze kufahamiana bado hamtafahamiana kivile, sema tu humu ndani tunaona vitimbi vingi coz tumeshajifunga pingu na kwa wengine kujitoa kwao ndio hivyo wanahofia jamii/watoto etc lakini ishu ya vimbwanga vya ndoa vinaweza kutokea hata mkiamua tu kuishi bila ndoa ila hapo inakuwa rahic kwa mmoja wao kama kazidiwa kujiengua na kuendelea na maisha yake japo kuna muda kwa sheria kwamba mkiishi pa1 kwa muda fulani mnatambulikana kama mume na mke....nadhani ningekuwa cpo ndani nicngeingia kwa ndoa wala bila ndoa, ningejizalia tu nilee nitulie..pwehh ote ndao.
" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.
ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!
Hii imenigusa nitarudi ngoja nivute pumzi.
Hujambo lakini wewe??? (Jamaa ana raha kweli niko hapa almost three weeks full kujiachia)
kingine ni kwamba ni ngumu sana kumtambua mwenzi wako kabla hajaishi pa1, iwe ndoa/kuishi bila ndoa yote sawa, mkianza kuishi pa1 kwa namna moja au nyingine ndio huwa tunayatoa makucha ye2, so hapa ishu ni kwamba hiyo ya sogea tuishi ni nzuri nayo kama mna malengo ya kujuana zaidi bila kuanzia familia(watoto) mkianzisha familia tayari mtu kama huyo atakuwa kama kina sie tu hapa.....
Sasa bibie mbona unawaonea watoto wa watu???Kama ni kwa tabia mbaya mbona hata sisi karibu tutawafikia!!Usikute
wote tulizaliwa na mtu mmoja...aliyetulea tu ndo mwingine!
Ushamaliza kuvuta pumzi mami???
Kama ni hali yangu unaulizia sasa hivi napumua kama kawaida!!Heheheh ( shemeji shemeji nirudi kumpenda au niendelee kumchukia mpaka uniambie?? )
Hapo kwenye red kwanini Nyamayao???Binafsi sidhani kama kuna kifungo ambacho kinaweza kuniweka kwenye mahusiano nisyoyafurahia!!Kama ni mtoto tutalea pamoja kwa makubaliano au ikibidi ntamlea mwenyewe. Unaweza ukavumilia misuko suko ''ili mtoto alelewe na wazazi wawili'' ila mwisho wa siku unakuta wewe tu ndo mlezi au zaidi mwenzako anakua kwenye kuharibu zaidi ya kumjenga mtoto. Ubaya ni kwamba kuna nafasai kubwa sana ya mwanaume ambae anamnyanyasa mwanamke kunyanyasa na mtoto pia...asipokujali wewe ambae humhitaji akulishe na kukuogesha atamjali vipi mtoto ambae anamhitaji kwa kila kitu?