Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
dada Joy maisha haya kabla ya ndoa ni mazuri sana tena mno mnaweza ishi hata miaka 45 then mnafunga ndoa
Haya ndo yale ya mtoto kula harusi ya mama,yaani mtoto wako anakula mnuso wa ndoa yako tena ya kwanza,no mkwe kwa staili hii mwanangu umemkosa