Wanajamii naomba kujuzwa nini athari inayoweza kutokea iwapo mkataba uliosaini ktk ajira umeisha,mwajiri hasemi lolote ila anaendelea kutoa majukumu ya kazi tu na analipa mshahara kama kawaida.Je mfanyakazi akitaka kwenda sehemu nyingine ya kazi afanyeje?(Anaaga vipi maana mkataba wa awali umeisha yapata miezi miwili sasa)Imekaaje kwa mujibu wa sheria za kazi za Tanzania?