Wamundemu
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 762
- 458
La hasha Dodoma haikuwa si mji mdogo ilikuwa manispaa. Baada ya manispaa ukikidhi vigezo ndo huwa jiji. Vigezo vinavyo angaliwa ni pamoja na huduma za kijamii kuwepo kwa ajili ya kuwahudumia watuIeleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji
Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?
Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?