Achukibesi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 234
- 77
Kila ulichoandika ni kinyume na uhalisia. Si ajabu haujawahi hata kufika huko Moshi
Moshi pamoja na Kilimanjaro kwa ujumla wake naifahamu kuliko hata waliozaliwa huko ukiwemo wewe.
Nina alama ya kudumu niliyoacha Moshi pamoja na Kilimanjaro kwa ujumla wake. We nenda ukafungue page ya Mambe Kimambi uone leo amewaagiza kufanya nini.
Mimi sio size yako.