Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

Ila mm niwashauri tu kama mkipata nafasi nendeni mkachukue viwanja Dodoma,mtakuja kujilaumu Dodoma utakuwa mji mzuri sana na waaina yake mm nawambia,Dodoma inakuwa kwa speed sana,Dodoma unaweza kwenda sasa mkoa wowote kwawepesi zaidi,kutakuwa fulsa nyingi sana Dodoma zitafunguka,lakini pia swala zima lakuhamisha serikali ni fulsa nyingine kwa wakazi wadodoma,kawekezeni Dodoma jamani!!
 
Kama rais anaamka na kuamua Manispaa fulani iwe jiji halafu tunakenua badala kumuuliza kama taratibu zimefuatwa, tunaelekea pabaya.

Kuna siku atakuja kuamka na kuya fanya majiji yasiyoipenda CCM kuwa Manispaa.

Tusikubali Rais aamue, bali taratibu zifuatwe.
hata akiyafanya yawe kijiji poa tu. si ataondoka au huyu ni wa maisha?
 
Utafiti ulishafanyika, hata hivyo rais hawezi kuishi kwenye manispaa, hiyo ni kura ya veto, kwa vigezo mmmmmmmmmmm
 
Dodoma ni mji wa 4 kwa idadi ya watu ikiipita mbeya huku ikiipumulia Arusha kisogoni,next sensa nadhani itakuwa nyuma ya mwanza baada ya Dar
Bila shaka umekidhi viwango in terns of population,mpangilio wa mji,mapato,viwanda na makao rasmi ya serikali
Mkuu kwa point ya idadi ya watu hapana nakukatalia soma vzuri data za sensa ya watu na makazi Dodoma inazidiwa idadi ya watu na geita
 
Ni maamuzi ya kipuuzi tu lakini Dodoma haina hadhi ya Kilimanjaro. Maamuzi ya kukurupuka yanaligharimu sana Taifa la Watanzania.
Acha ujinga wewe. Dodoma ni mji mkuu wa nchi kuwa jiji ni lazima sababu maendeleo ya pale kuanzia sasa hiwezifananisha na sehemu ingine
 
Mimi sijui taratibu zikoje za kupandisha mji kuwa jiji ila kwa Dodoma hii ya sasa hivi inastahili kuwa jiji ipo vizuri kwa kweli kwanza upande wa barabara za mjini ipo vizuri kuliko hata mkoa wa Tanga.
 
Nimeishi hapo Dodoma mika 4 Iliyopita! Sijui Kama ndani ya hii miaka minne kama Dom imefikia hadhi ya kuitwa jiji kwa mjibu wa vigezo na sheria zilizopo! Au limekuwa jiji la kisiasa.
Jaribu kujiridhisha hapa kwa mujibu wa sheria kwa kuwa ww umeisha hapo Dodomya linganisha vigezo hv km vinakidhi.
Screenshot_2018-04-27-10-36-41.jpg
Screenshot_2018-04-27-10-36-54.jpg
 
Kuna wa2 special kwa kukosoa2 sasa wewe dodoma kupandishwa kua jiji inakuuma nn au umepungukiwa na au ulitaka upandishwe mkoa wako
 
Utafiti ulishafanyika, hata hivyo rais hawezi kuishi kwenye manispaa, hiyo ni kura ya veto, kwa vigezo mmmmmmmmmmm
Rais anaishi kwenye halmashauri ya wilaya ya Chamwino,hata hadhi ya manispaa haijafikia maana ndio ikulu ilipo!
 
Waswahili walisema kutangulia si kufika na kwamba mwenda pole hajikwai, hatimaye leo Dodoma imekuwa Jiji wakiitangulia Manispaa ya Moshi Hongereni sana Wagogo na Warangi......Dodoma hoyeeee!!!

Kwa Moshi bado sana kuwa Jiji kwa sababu za Kihistoria, Kiuchumi, Kijamii na Kisiasa.

Kihistoria, Mji wa Moshi haukujengwa na wenyeji. Kwa hiyo Wachaga hawana sense of responsibility and ownership na Mji wa Moshi.

Kiuchumi, Mji wa Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla wake hauna rasilimali wala shughuli za kiuchumi za kuwezesha kuujenga hadi kufikia hadhi ya kuwa Jiji. Hii ni kwa sababu hata majengo makubwa yaliyopo yameshindwa kupata Wapangaji wa kuyajaza. Mfano ni Jengo la NSSF.

Kijamii, Wachaga ni muungano wa Vikabila Vingi ambavyo vinaenzi zaidi sehemu zao asilia kuliko mji wa Moshi. Wachaga wote popote walipo huwaza zaidi kujenga vijijini kwao kuliko Moshi Mjini. Hii inaufanya Mji wa Moshi kuendelea kubaki na muonekano wake wa zamani.

Hata wale wachache wanaothubutu kuwekeza katika Mji wa Moshi hukutana na vikwazo kutoka kwa Maaliwatani wa Mjini na hivyo kuwakatisha tamaa.

Kwa upande wa Kisiasa, Mji wa Moshi unaathiriwa kwa kiasi kikubwa na siasa za Kinafiki si kwa Chadema wala CCM. Wote ni wachumia Tumbo na hawana utashi wa kiasa wa kuujenga mji wa Moshi. Kilichopo ni jitihada binafsi za watu wachache za kutaka Moshi iwe Jiji lakini ukichunguza kwa undani, hutashindwa kubaini kuwa ni wachungulia dili tu wakiwa na lengo la kupata manufaa binafsi mwisho wa siku.
 
Dodoma kuwa au kutokuwa jiji watanzania inawakera nini! Tatizo tunashindwa kupambana na hali zetu tunabaki kushadadia mambo kama Haya, tupambane na future zetu na kila mmoja ashiriki katika ujenz wa taifa hili na sio kufanya porojo sizizo na mantiki
 
Kwa Moshi bado sana kuwa Jiji kwa sababu za Kihistoria, Kiuchumi, Kijamii na Kisiasa.

Kihistoria, Mji wa Moshi haukujengwa na wenyeji. Kwa hiyo Wachaga hawana sense of responsibility and ownership na Mji wa Moshi.

Kiuchumi, Mji wa Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla wake hauna rasilimali wala shughuli za kiuchumi za kuwezesha kuujenga hadi kufikia hadhi ya kuwa Jiji. Hii ni kwa sababu hata majengo makubwa yaliyopo yameshindwa kupata Wapangaji wa kuyajaza. Mfano ni Jengo la NSSF.

Kijamii, Wachaga ni muungano wa Vikabila Vingi ambavyo vinaenzi zaidi sehemu zao asilia kuliko mji wa Moshi. Wachaga wote popote walipo huwaza zaidi kujenga vijijini kwao kuliko Moshi Mjini. Hii inaufanya Mji wa Moshi kuendelea kubaki na muonekano wake wa zamani.

Hata wale wachache wanaothubutu kuwekeza katika Mji wa Moshi hukutana na vikwazo kutoka kwa Maaliwatani wa Mjini na hivyo kuwakatisha tamaa.

Kwa upande wa Kisiasa, Mji wa Moshi unaathiriwa kwa kiasi kikubwa na siasa za Kinafiki si kwa Chadema wala CCM. Wote ni wachumia Tumbo na hawana utashi wa kiasa wa kuujenga mji wa Moshi. Kilichopo ni jitihada binafsi za watu wachache za kutaka Moshi iwe Jiji lakini ukichunguza kwa undani, hutashindwa kubaini kuwa ni wachungulia dili tu wakiwa na lengo la kupata manufaa binafsi mwisho wa siku.

Kila ulichoandika ni kinyume na uhalisia. Si ajabu haujawahi hata kufika huko Moshi
 
Kuna jamaa anasema Dom ndo mji pekee wenye hospitali 4 za rufaa anataja mvumi kuwa kuna hospital ya rufaa ya macho sasa nakuambia tuu ndugu uliza Tanzania nzima eyes specialist kama utaambia ni mvumi.jiulize Dodoma nzima kama kuna hospitali yenye machine za kusafisha figo (dialysis ) kwa kifupi Ms kuna Hosp.zenye hadhi ya referall kama ifuatavyo kcmc ambayo ndani yake kuna vyuo vyenye hadhi ya vyuo vikuu kama vinne ,machame Hosp ,mawenzi Hosp,st.Elizabeth Hosp. Hospital ya rufaa ya kifua kikuu kwa Tanzania nzima kibongoto Hosp,kibosho Hosp na Huruma Hosp. Zote hizi zinaaiacha mbali sana hiyo inayoitwa mirembe na general hospital
 
Back
Top Bottom