Faida kubwa ya Kuinstall Custom ROMs kwenye simu za Android

Faida kubwa ya Kuinstall Custom ROMs kwenye simu za Android

Strictly Syrup

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
1,227
Reaction score
1,821
Kumekuwa na simu nyingi za Android ambazo zimekuwa zikiingia sokoni kila kukicha, Lakini wateja wengi wametokea kununua simu na kutoridhishwa na stock ROM inayokuwepo kwenye simu. Simu nyingi ambazo zenye ubora zimekuwa zikifanyiwa improvement na developers kutokana na defects zinazokuwepo kwenye simu hizo katika softwares. Kuna CUstom ROMS kibao sana ambazo zimepata watumiaji wengi kama vile CarbonRom, Cyanogenmod, Slim ROM n.k. Kuna umuhimu mkubwa wa kuweka custom ROM kama device yako inasupport. Umuhumu ni kama vile:

1. Kuongezeka kwa Performance.
Baada ya kuweka custom ROMs utagundua kwamba ufanisi wa simu unaongezeka kwa asilimia kubwa sana. Lagging nyingi zitapungua kwa kiasi kikubwa na pia baadhi ya misbehavior ulizokuwa unazionakwenye Stock Rom kutokana na stability ya CUstom ROMs nyingi.

2. Maisha ya Battery yataongezeka.

Lengo kubwa au mojawapo ya Lengo kubwa la custom ROM ni kuhakikisha wanafanya adjustments kwenye ROM kuhakikisha battery inakaa zaidi wakati mtumiaji anatumia simu yake.

3. Kuongezeka customization options.
Mfano kwa Cyanogenmod unaweza ukaweka WIdgets kibao kwenye lockscreen. Kama vile weather, music player n.k. Pia cyanogenmod wana customizations nyingine kama battery icons, buttons, advanced reboot n.k.

nexusae0_Chronus3.png


4. Kupata version upgrades za ROM ya simu yako ambazo hata Stock ROM hawaajatoa.
Mfano. Huawei y300 wana custom ROM ya kitkat kutoka Cyanogenmod (cm11)

Huawei-Ascend-Y300-Android-4.4-KitKat1.jpg


5. Kuinstall Custom ROMs kunasaidia kutopata Bloatwares ambazo mara nyingi unazikuta kwenye Stock ROMs. Kama vile TV apps, Carrier Apps ambazo zinachukua space kubwa bila sababu maalum. Kwa kuwa Custom ROMs nyingi zinakuwa na zile basic apps pekee.

fixedbyvonnie-galaxy-s4-downloaded-applications.png


Kama ni expert unaweza ukaroot na kuinstall Custom ROMS kwenye simu yako ndani ya dakika chache tu. Kutokana na shughuli hii kuchukua muda mfupi tu kama umeshakuwa mzoefu wa kuinstall custom roms.

KUMBUKA:

i) Kuna baadhi ya Custom ROMS nyingi ambazo unakuta zina bugs nyingi, kwa hiyo siku zote hakikisha unaweka Stable Releases pekee.

ii) Pia kuna baadhi ya customs ambazo zinakuwa ported kutoka devices nyingine ambazo zinaweza kuwa zinakunywa sana chaji ya battery yako. Kwa hiyo ni vizuri kupataa taarifa za kutosha kabla ya kudownload na kuinstall custom ROMs kwenye simu yako.

iii) Vilevile hatua za kuroot na kuweka custom ROMs zinaweza kusababisha uharibifu wa simu ya ko kama hujui unachokifanya.
Ni hayo tu!
 
Mkuu umeongea jambo jema naomba msaada ni root Tecno P5 ili niwekee kitkat Jana nimehangaika na framroot mpaka nimechoka. Naomba njia sahihi na ya uhakika ili nifanikishe Ku root na kuweka kitkat natanguliza shukrani
 
Mkuu umeongea jambo jema naomba msaada ni root Tecno P5 ili niwekee kitkat Jana nimehangaika na framroot mpaka nimechoka. Naomba njia sahihi na ya uhakika ili nifanikishe Ku root na kuweka kitkat natanguliza shukrani

Ndugu kama una PC jaribu kutumia VRoot ili uweze kufanikiwa kupata root access kwenye simu yako.
Link >> http://androidxda.com/download-vroot

• Hakikisha una drivers za simu yako incase kama driver zitakosekana. Download ADB driver Installer.
• Hakikisha USB debugging ipo on.
 
Asante kaka nlikuwa natafuta sana custom rom kwa ajili ya simu zangu mbili, TECNO P5 na Huawei ascend y530 hebu nisaidie km nitazipata mkuu
 
Kumekuwa na simu nyingi za Android ambazo zimekuwa zikiingia sokoni kila kukicha, Lakini wateja wengi wametokea kununua simu na kutoridhishwa na stock ROM inayokuwepo kwenye simu. Simu nyingi ambazo zenye ubora zimekuwa zikifanyiwa improvement na developers kutokana na defects zinazokuwepo kwenye simu hizo katika softwares. Kuna CUstom ROMS kibao sana ambazo zimepata watumiaji wengi kama vile CarbonRom, Cyanogenmod, Slim ROM n.k. Kuna umuhimu mkubwa wa kuweka custom ROM kama device yako inasupport. Umuhumu ni kama vile:

1. Kuongezeka kwa Performance.
Baada ya kuweka custom ROMs utagundua kwamba ufanisi wa simu unaongezeka kwa asilimia kubwa sana. Lagging nyingi zitapungua kwa kiasi kikubwa na pia baadhi ya misbehavior ulizokuwa unazionakwenye Stock Rom kutokana na stability ya CUstom ROMs nyingi.

2. Maisha ya Battery yataongezeka.

Lengo kubwa au mojawapo ya Lengo kubwa la custom ROM ni kuhakikisha wanafanya adjustments kwenye ROM kuhakikisha battery inakaa zaidi wakati mtumiaji anatumia simu yake.

3. Kuongezeka customization options.
Mfano kwa Cyanogenmod unaweza ukaweka WIdgets kibao kwenye lockscreen. Kama vile weather, music player n.k. Pia cyanogenmod wana customizations nyingine kama battery icons, buttons, advanced reboot n.k.

nexusae0_Chronus3.png


4. Kupata version upgrades za ROM ya simu yako ambazo hata Stock ROM hawaajatoa.
Mfano. Huawei y300 wana custom ROM ya kitkat kutoka Cyanogenmod (cm11)

Huawei-Ascend-Y300-Android-4.4-KitKat1.jpg


5. Kuinstall Custom ROMs kunasaidia kutopata Bloatwares ambazo mara nyingi unazikuta kwenye Stock ROMs. Kama vile TV apps, Carrier Apps ambazo zinachukua space kubwa bila sababu maalum. Kwa kuwa Custom ROMs nyingi zinakuwa na zile basic apps pekee.

fixedbyvonnie-galaxy-s4-downloaded-applications.png


Kama ni expert unaweza ukaroot na kuinstall Custom ROMS kwenye simu yako ndani ya dakika chache tu. Kutokana na shughuli hii kuchukua muda mfupi tu kama umeshakuwa mzoefu wa kuinstall custom roms.

KUMBUKA:

i) Kuna baadhi ya Custom ROMS nyingi ambazo unakuta zina bugs nyingi, kwa hiyo siku zote hakikisha unaweka Stable Releases pekee.

ii) Pia kuna baadhi ya customs ambazo zinakuwa ported kutoka devices nyingine ambazo zinaweza kuwa zinakunywa sana chaji ya battery yako. Kwa hiyo ni vizuri kupataa taarifa za kutosha kabla ya kudownload na kuinstall custom ROMs kwenye simu yako.

iii) Vilevile hatua za kuroot na kuweka custom ROMs zinaweza kusababisha uharibifu wa simu ya ko kama hujui unachokifanya.
Ni hayo tu!

Asante kaka nlikuwa natafuta sana custom rom kwa ajili ya simu zangu mbili, TECNO P5 na Huawei ascend y530 hebu nisaidie km nitazipata mkuu
 
Napataje hizo ROM maana mie natumia xperia Z1, je naweza kupata kwenye playstore yangu au hardware nipeleke simu kwa dealer akaniwekee
 
Ndugu kama una PC jaribu kutumia VRoot ili uweze kufanikiwa kupata root access kwenye simu yako.
Link >> http://androidxda.com/download-vroot

• Hakikisha una drivers za simu yako incase kama driver zitakosekana. Download ADB driver Installer.
• Hakikisha USB debugging ipo on.

Mkuu nimefanikiwa ku root, sasa nataka niweke kitkat naomba mwongozo nisije nikakosea tena maana maelekezo niliyopata jana ni kwamba naboot kwenye recover mode na wipe system data nawipe cache alafu na update from sd card. Je nifanye hivyo?
 
Mkuu nimefanikiwa ku root, sasa nataka niweke kitkat naomba mwongozo nisije nikakosea tena maana maelekezo niliyopata jana ni kwamba naboot kwenye recover mode na wipe system data nawipe cache alafu na update from sd card. Je nifanye hivyo?

Ooh no priscus umeroot kabla hujadownload custom ROM na hujaiweka kwny cm yako?
 
Ooh no priscus umeroot kabla hujadownload custom ROM na hujaiweka kwny cm yako?

Nilidowload tangu jana na ipo kwenye zip folder kizingiti ilikuwa rooting ndo ilinitesa, nimemuuliza kiongozi je nawezaendelea kwa procedure za kuweka kitkat?
 
Mkuu nimefanikiwa ku root, sasa nataka niweke kitkat naomba mwongozo nisije nikakosea tena maana maelekezo niliyopata jana ni kwamba naboot kwenye recover mode na wipe system data nawipe cache alafu na update from sd card. Je nifanye hivyo?

Sasa kuwa mwangalifu usije ukadamage device yako, fuata maelekezo yaliyopo kwenye webpage nitakazo kupatia ....
Visit hapa ili upate recovery image >>> http://forum.hovatek.com/showthread.php?tid=75

Na pia kupata maelekezo ya kutosha ili uflash recovery mode soma hapa >>> forum.hovatek.com/showthread.php?tid=455#sthash.c5zC7F93.dpbs
 
Ooh no priscus umeroot kabla hujadownload custom ROM na hujaiweka kwny cm yako?

Huwezi ukaweka custom ROM bila kuroot, kwa sababu ni lazima anatakiwa aweke custom recovery ambayo ni Clockworkmod ambayo ipo more advanced na itamsaidia kuweka custom rom kiurahisi.
 
Asante kaka nlikuwa natafuta sana custom rom kwa ajili ya simu zangu mbili, TECNO P5 na Huawei ascend y530 hebu nisaidie km nitazipata mkuu

Huawei y530 sina uhakika kama imewahi kufanyiwa modding ya custom ROM, lakini kuna baadhi ya custom ROMs za tecno p5 nimeziona mtandaoni...
 
Asante kaka nlikuwa natafuta sana custom rom kwa ajili ya simu zangu mbili, TECNO P5 na Huawei ascend y530 hebu nisaidie km nitazipata mkuu


Kaka kwa tecno inakua ngumu coz inatumia processor ya mediatek...lakin naamin kuna wanaijeria wanafanyia kazi hilo suala
Pia kwa Huawei Y530 imechelewa kupata custom rom kutokana na realeses zake kufanywa nchi ambazo hakuna changamoto ya ku'cook android roms..
 
Huwezi ukaweka custom ROM bila kuroot, kwa sababu ni lazima anatakiwa aweke custom recovery ambayo ni Clockworkmod ambayo ipo more advanced na itamsaidia kuweka custom rom kiurahisi.
Mkuu nifahamishe kuweka custom ROM kwenye SII i9100 nimesha root kwa frama na pia apps kama samsung link,readers hub tmemo play movies nikifuta itasumbua?
 
Huwezi ukaweka custom ROM bila kuroot, kwa sababu ni lazima anatakiwa aweke custom recovery ambayo ni Clockworkmod ambayo ipo more advanced na itamsaidia kuweka custom rom kiurahisi.

mkuu kwa sababu wewe ni mjuz wa hii mambo nitaftie custom rom ya tecno p5 na apo kwenye clockmod cjaelewa its meaning naomba full tutorial a-z jinsi ya kufanya hii mambo mkuu
 
mkuu kwa sababu wewe ni mjuz wa hii mambo nitaftie custom rom ya tecno p5 na apo kwenye clockmod cjaelewa its meaning naomba full tutorial a-z jinsi ya kufanya hii mambo mkuu

Tecno P5 haina ucustom rom ya kueleweka ni themed stock rom tu. Hivyo nakushauri ubaki na stock rom ya simu.
 
Back
Top Bottom