mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,271
- 4,654
Katika Tanzania hii ambayo vyuma vimekaza.Sisi tusio na uzoefu sana na computer tunaomba uzoefu/njia na maujanja namna ya kuinstall program mbalimbali kwenye compyuta iwe ni laptop au desktop.
Hii ni kwa sababu ukienda kwa mafundi wanakupiga hela ku-update tu anti -virus.lakin kumbe tungepeana maujuzi humu tukasaidia namna ya kuintall progam mbalimbali.
NB: Kama kuna uzi wa namna ya kuintall madude kwenye pc/dtop basi wadau mtupe link iwe rahisi zaidi.
We are family!JF my family love you always.
Thanks.
Hii ni kwa sababu ukienda kwa mafundi wanakupiga hela ku-update tu anti -virus.lakin kumbe tungepeana maujuzi humu tukasaidia namna ya kuintall progam mbalimbali.
NB: Kama kuna uzi wa namna ya kuintall madude kwenye pc/dtop basi wadau mtupe link iwe rahisi zaidi.
We are family!JF my family love you always.
Thanks.