Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 11, 2015 Thread starter #41 Copenhagen DN said: Siasa za bongo kamwe si kwa ajili ya maslahi ya wananchi bali binafsi. Inauma sana. Ni nyerere tu! Click to expand... lakin muta alipambana sana basi tu
Copenhagen DN said: Siasa za bongo kamwe si kwa ajili ya maslahi ya wananchi bali binafsi. Inauma sana. Ni nyerere tu! Click to expand... lakin muta alipambana sana basi tu
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 11, 2015 Thread starter #42 nakoz said: Hata akikosa hela ya kula alikuja kuomba kwako.there's time 4everything au unataka akomae na siasa tu amekuwa mrema Click to expand... kukosa hela ya kua haiwezekani maana ni msomi wa haja
nakoz said: Hata akikosa hela ya kula alikuja kuomba kwako.there's time 4everything au unataka akomae na siasa tu amekuwa mrema Click to expand... kukosa hela ya kua haiwezekani maana ni msomi wa haja
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 11, 2015 Thread starter #43 Gagnija said: Kuna Sultan Maalim Seif pale. Mkono wako ukionekana kutaka kugusa penye maslahi yake shurti uondolewe. Click to expand... alaah.............kuumbeeeeeeeeeee
Gagnija said: Kuna Sultan Maalim Seif pale. Mkono wako ukionekana kutaka kugusa penye maslahi yake shurti uondolewe. Click to expand... alaah.............kuumbeeeeeeeeeee
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 11, 2015 Thread starter #44 akimaliza ya sheria anaenda ya psychologia Mtelekezwa said: Jamaa amemaliza Masterz pale Mzumbe ya public administration.kwa sasa amerudi tena Darasani Tumaini university Anasoma Shahada ya sheria Click to expand...
akimaliza ya sheria anaenda ya psychologia Mtelekezwa said: Jamaa amemaliza Masterz pale Mzumbe ya public administration.kwa sasa amerudi tena Darasani Tumaini university Anasoma Shahada ya sheria Click to expand...
D David Thomas M JF-Expert Member Jan 2, 2015 546 137 Jan 11, 2015 #45 kama yupo atokelezee jamvini atwambie yuko wapi na anafanya nini na huko aliko harakati vipi?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 11, 2015 Thread starter #46 David Thomas M said: kama yupo atokelezee jamvini atwambie yuko wapi na anafanya nini na huko aliko harakati vipi? Click to expand... hilo litakua jema sana, naamini atafanya hivyo
David Thomas M said: kama yupo atokelezee jamvini atwambie yuko wapi na anafanya nini na huko aliko harakati vipi? Click to expand... hilo litakua jema sana, naamini atafanya hivyo
F fazili JF-Expert Member Jun 10, 2011 13,801 18,527 Jan 11, 2015 #47 Ila hawezi kufika popote akindelea na CUF. Inapaswa ahamie chama chenye mwelekeo na sio vyama vya kihafidhina.
Ila hawezi kufika popote akindelea na CUF. Inapaswa ahamie chama chenye mwelekeo na sio vyama vya kihafidhina.
G GTMOJA Senior Member Jul 25, 2012 100 21 Jan 12, 2015 #48 Mtatiro anasoma jamaaa anataka aitwe dr mtatiro
G GTMOJA Senior Member Jul 25, 2012 100 21 Jan 12, 2015 #49 Mtatiro bado ni aset ya taifa hili mimi namwamin sana huyu mtu
AdvocateFi JF-Expert Member Jan 15, 2012 11,492 5,040 Jan 12, 2015 #50 Chama alichopo ndio tatizo na sio kingine.
mansakankanmusa JF-Expert Member Sep 30, 2010 4,163 787 Jan 12, 2015 #51 angerndaga zake chadema angekuwa anakula shavu
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 14, 2015 Thread starter #53 Bado tu hajajitokeza?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Jan 14, 2015 Thread starter #54 Gagnija said: Kuna Sultan Maalim Seif pale. Mkono wako ukionekana kutaka kugusa penye maslahi yake shurti uondolewe. Click to expand... alaaah. kumbe anagusa maslahi ya watu? lakn anaonekana mzalendo
Gagnija said: Kuna Sultan Maalim Seif pale. Mkono wako ukionekana kutaka kugusa penye maslahi yake shurti uondolewe. Click to expand... alaaah. kumbe anagusa maslahi ya watu? lakn anaonekana mzalendo
U Uungwana Vitendo JF-Expert Member Nov 20, 2013 1,322 507 Jan 14, 2015 #55 jamani acheni udaku,jama ni jembe ila kwa sasa yupo chuo anasoma
Mwanyoro JF-Expert Member Dec 11, 2014 630 445 Jan 14, 2015 #56 Ana Degree ya Elimu, Ana Masters na sasa anasoma Degree ya Sheria Mlimani
kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Jan 14, 2015 #57 Amavubi said: lkn CUF nayo, unamkumbuka Lwakatare? Click to expand... Anza na mwanzilishi James Mapalala!
Amavubi said: lkn CUF nayo, unamkumbuka Lwakatare? Click to expand... Anza na mwanzilishi James Mapalala!
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Jan 14, 2015 #58 bdo said: Hivi yupo wapi? Click to expand... Yupo! Nimeona makala yake kwe.ye gazeti la mwananchi. Niulize hivi aliwahi kusaliti?
bdo said: Hivi yupo wapi? Click to expand... Yupo! Nimeona makala yake kwe.ye gazeti la mwananchi. Niulize hivi aliwahi kusaliti?
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Jan 14, 2015 #59 Saint Ivuga said: Sasa hivi yupo facebook ana share share video za kila lilwayne na kina rihana Click to expand... Ha ha ha haaa mkuu acha maskhara!
Saint Ivuga said: Sasa hivi yupo facebook ana share share video za kila lilwayne na kina rihana Click to expand... Ha ha ha haaa mkuu acha maskhara!
Miiku JF-Expert Member Oct 8, 2014 3,835 2,630 Jan 14, 2015 #60 Jina lake la "juliasi" tu ndio lilimponza pale cuf