Askari Kanzu JF-Expert Member Jan 7, 2011 4,598 1,233 Dec 7, 2011 #1 Suluhisho bunifu la kuwazuia wanafunzi wanaopenda kuibia kwenye mtihani!
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Dec 7, 2011 #2 hivi ni kweli wachina ndio walioanzisha suala la kufanya mitihani?
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Dec 7, 2011 #3 Hiyo ni komesha, hawezi hata kuangalia kwa jicho la pembeni.
Babuu blessed JF-Expert Member Oct 14, 2010 1,362 490 Dec 7, 2011 #6 Teh teh teh bway bway ata kugeuka ni taabu tupu.nashaur na bongo iwe implemented
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Dec 8, 2011 #7 Duh! sio ndo utasababisha wafeli kwa hofu!
NEW NOEL JF-Expert Member May 21, 2011 863 407 Dec 8, 2011 #9 Hakuna ambalo haliwezekani Bongo. Mjapani anatengeneza pikipiki lakini mtanzania anai modify na kuifanya gari. Itashindikana kuibia kwenye mtihani? Hii ndo bongo...hakuna lisilowezekana ,labda kubuni gari tu..na tukishindwa tunaenda China.
Hakuna ambalo haliwezekani Bongo. Mjapani anatengeneza pikipiki lakini mtanzania anai modify na kuifanya gari. Itashindikana kuibia kwenye mtihani? Hii ndo bongo...hakuna lisilowezekana ,labda kubuni gari tu..na tukishindwa tunaenda China.
Big One JF-Expert Member Apr 11, 2011 759 47 Dec 8, 2011 #10 aiseeee hii ni kali kinoma waweza feri vibaya nalog off
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Dec 10, 2011 #11 unajua jamani hili ni vigumu kuli implement bongo ..! kwa kua hata wataalamu wetu wamefika hapo kwa vibomu kama hivyo tuuu..!
unajua jamani hili ni vigumu kuli implement bongo ..! kwa kua hata wataalamu wetu wamefika hapo kwa vibomu kama hivyo tuuu..!