Kuibia kwenye mtihani

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Suluhisho bunifu la kuwazuia wanafunzi wanaopenda kuibia kwenye mtihani!

and yet effective..jpg
 
hivi ni kweli wachina ndio walioanzisha suala la kufanya mitihani?
 
Hakuna ambalo haliwezekani Bongo.
Mjapani anatengeneza pikipiki lakini mtanzania anai modify na kuifanya gari. Itashindikana kuibia kwenye mtihani? Hii ndo bongo...hakuna lisilowezekana ,labda kubuni gari tu..na tukishindwa tunaenda China.
 
unajua jamani hili ni vigumu kuli implement bongo ..! kwa kua hata wataalamu wetu wamefika hapo kwa vibomu kama hivyo tuuu..!
 
Back
Top Bottom