Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 15,127
- 35,494
Wakuu habari,,
Baada ya JF kurejea kutokana na kutokuwepo hewani kwa takribani wiki 3 mwezi June 2018, uongozi wa JF ulikuja na pendekezo lifuatalo ili kulinda usalama wa watumiaji.kwakua wakati huo sikuwa member nimeona nilete swali hili ili watalaamu wa IT na wajuzi wengine wa usalama mtandaoni na waweze kutusaidi kujua mambo kadhaa.
1.Je Protonmail na Hushmail wanaposema wana 'end to end encryption' na kwamba servers zao zipo Uswisi na hivyo zipo outside US na EU jurisdiction wana maanisha nini kwa usalama wa mtumiaji?
2.Je tofauti ya kiusalama ni ipi kati ya mtu anaetumia Gmail au Yahoo na yule anaetumia Proton au Hushmail?
3.Je mtumiaji wa JF yupo salama kiasi gani,yaani mfano mtu akitaka kukufuatilia na kukujua hasa kwa mtu ambae sio verified user kupitia labda IP address na mbinu zingine za kitekinolojia?
NB.kwa wale wenye weledi wa haya mambo ingekua vizuri wangetumia lugha rahisi ili tuweze kuelewa.
Nimeweka viambatanisho vyote kuhusu nilichouliza hapa.
Ahsanteni.
Baada ya JF kurejea kutokana na kutokuwepo hewani kwa takribani wiki 3 mwezi June 2018, uongozi wa JF ulikuja na pendekezo lifuatalo ili kulinda usalama wa watumiaji.kwakua wakati huo sikuwa member nimeona nilete swali hili ili watalaamu wa IT na wajuzi wengine wa usalama mtandaoni na waweze kutusaidi kujua mambo kadhaa.
1.Je Protonmail na Hushmail wanaposema wana 'end to end encryption' na kwamba servers zao zipo Uswisi na hivyo zipo outside US na EU jurisdiction wana maanisha nini kwa usalama wa mtumiaji?
2.Je tofauti ya kiusalama ni ipi kati ya mtu anaetumia Gmail au Yahoo na yule anaetumia Proton au Hushmail?
3.Je mtumiaji wa JF yupo salama kiasi gani,yaani mfano mtu akitaka kukufuatilia na kukujua hasa kwa mtu ambae sio verified user kupitia labda IP address na mbinu zingine za kitekinolojia?
NB.kwa wale wenye weledi wa haya mambo ingekua vizuri wangetumia lugha rahisi ili tuweze kuelewa.
Nimeweka viambatanisho vyote kuhusu nilichouliza hapa.
Ahsanteni.