kuhusu oteas

kuhusu oteas

teacher ben

New Member
Joined
Mar 6, 2019
Posts
1
Reaction score
0
naomba kuuliza wadau juu ya OTEAS,, je baada ya kumaliza process zote utajuaje kuwa maombi yako yamepokelewa sehemu husika?,,, maana nnachoona ni baada ya kujaza mikoa uki click sehemu ya save ndo unaambiwa kuwa you have successful completed your application,, sijaona sehemu ya ku submit application
 
naomba kuuliza wadau juu ya OTEAS,, je baada ya kumaliza process zote utajuaje kuwa maombi yako yamepokelewa sehemu husika?,,, maana nnachoona ni baada ya kujaza mikoa uki click sehemu ya save ndo unaambiwa kuwa you have successful completed your application,, sijaona sehemu ya ku submit application


Click View Application Report "Tab" hapo utaona summary ya maombi yako, hiyo ni kiashiria kuwa imekwenda. pia kama utaweza kuview document zako kutokea kwenye browser(Click Attachment Panel) pia ni ishara kuwa umefanikiwa kuapload.

@ Manyuc
 
Back
Top Bottom