Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,228
- 1,530
Wakuu kwema,naweza kuwa nimeweka kwenye forum isiyo sahihi sana lakini mtaniwia radhi.Nina jamaa yangu alikuwa anasoma chuo cha SAUT,akiwa mwaka wa mwisho alipata carry ya masoma mawili,kabla ya kwenda kufanya hiyo mitiani akapata kazi hivyo akaenda kufanya kazi akaachana na hiyo mitihani.Sasa kazi imeisha anataka kwenda kufanya hiyo mitihani.Alimaliza toka mwaka 2017,je uwezekao huo upo? Na utaratibu wake ukoje? Shukrani sana
Kama alifanya uamuzi huo baada ya kujiridhisha na Examination Regualation ya chuo inavyoelekeza hatakuwa na shida, lakini kama hakuisoma na ama aliisoma akafanya kinyume chake, nampa pole sana!