Kuhusu Mitihani ya Carry over

Kuhusu Mitihani ya Carry over

Ngaramtoni

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2012
Posts
431
Reaction score
61
Wakuu kwema,naweza kuwa nimeweka kwenye forum isiyo sahihi sana lakini mtaniwia radhi.Nina jamaa yangu alikuwa anasoma chuo cha SAUT,akiwa mwaka wa mwisho alipata carry ya masoma mawili,kabla ya kwenda kufanya hiyo mitiani akapata kazi hivyo akaenda kufanya kazi akaachana na hiyo mitihani.Sasa kazi imeisha anataka kwenda kufanya hiyo mitihani.Alimaliza toka mwaka 2017,je uwezekao huo upo? Na utaratibu wake ukoje? Shukrani sana
 
Je uliandika barua ya kusitisha masomo ?
Maana ukiwa na carry lazima uingie darasani usome upya,hapo unakua unahesabika kama mwanafunzi,

Usipofanya mpaka muda wa carry kuisha unadisco automatic,

Ila kwa vile SAUT ni chuo cha private we jitoe ufahamu uende ukaulize, wakikuhoji singizia uliugua kisukari kwa muda mrefu ukawa huoni vizuri, wakidai ushahidi jiongeze mahospitali mengi tu zama huko kisha Fanya mchongo,

Kila la kheri mkuu.
 
Je uliandika barua ya kusitisha masomo ?
Maana ukiwa na carry lazima uingie darasani usome upya,hapo unakua unahesabika kama mwanafunzi,

Usipofanya mpaka muda wa carry kuisha unadisco automatic,

Ila kwa vile SAUT ni chuo cha private we jitoe ufahamu uende ukaulize, wakikuhoji singizia uliugua kisukari kwa muda mrefu ukawa huoni vizuri, wakidai ushahidi jiongeze mahospitali mengi tu zama huko kisha Fanya mchongo,

Kila la kheri mkuu.
ujue wewe ni mkorofi, yeye kasema jamaa yake wewe unamshauri kama yeye
 
Inategemea kama alitoa taarifa chuoni kua hataweza kuja kusoma hayo masomo kwa semester husika, hivy unahairishwa huo mpango! Lakin kama hakuenda chuo kutoa taarifa, na ajaze zile form zao za postponing, asahau!!
 
Inategemea kama alitoa taarifa chuoni kua hataweza kuja kusoma hayo masomo kwa semester husika, hivy unahairishwa huo mpango! Lakin kama hakuenda chuo kutoa taarifa, na ajaze zile form zao za postponing, asahau!!
Hata kama akikubaliwa bado ana carry mbili, na inavyoonekana ni za masomo magumu ndio maana alizikimbia,

Kufanya carry ni sawa na kubeti, ukizingua bye bye.
 
Je uliandika barua ya kusitisha masomo ?
Maana ukiwa na carry lazima uingie darasani usome upya,hapo unakua unahesabika kama mwanafunzi,

Usipofanya mpaka muda wa carry kuisha unadisco automatic,

Ila kwa vile SAUT ni chuo cha private we jitoe ufahamu uende ukaulize, wakikuhoji singizia uliugua kisukari kwa muda mrefu ukawa huoni vizuri, wakidai ushahidi jiongeze mahospitali mengi tu zama huko kisha Fanya mchongo,

Kila la kheri mkuu.
Wewe jamaa kwa michongo hatari aisee.
 
Duh hapo kwenye kuandika barua sidhani kama alifanya, na ukiwa disqualified ina maana ukitaka kurudi chuo unaaply upya first year?manake sasa haya Ni majanga
 
Hata kama akikubaliwa bado ana carry mbili, na inavyoonekana ni za masomo magumu ndio maana alizikimbia,

Kufanya carry ni sawa na kubeti, ukizingua bye bye.
Ishu siyo masomo magumu, alifata protocal za kutokuja kusoma masomo? Ishu ipo clear kama alifata utaratibu.

Hlf unavyosema masomo ni magumu; hiv kweli SAUT wana masomo magumu?
 
Sema ni Mimi nina hivyo vimeo, uzuri humu ndani hatujuani kwa majina halisi. Sasa ya nn kutolea mf kwa jamaa yako wakati unajua ni wew
 
Je uliandika barua ya kusitisha masomo ?
Maana ukiwa na carry lazima uingie darasani usome upya,hapo unakua unahesabika kama mwanafunzi,

Usipofanya mpaka muda wa carry kuisha unadisco automatic,

Ila kwa vile SAUT ni chuo cha private we jitoe ufahamu uende ukaulize, wakikuhoji singizia uliugua kisukari kwa muda mrefu ukawa huoni vizuri, wakidai ushahidi jiongeze mahospitali mengi tu zama huko kisha Fanya mchongo,

Kila la kheri mkuu.
ujue wewe ni mkorofi, yeye kasema jamaa yake wewe unamshauri kama yeye
Ni yeye huyo hapo katumia code ya rafiki yake kubumba huu uzi
Sema ni Mimi nina hivyo vimeo, uzuri humu ndani hatujuani kwa majina halisi. Sasa ya nn kutolea mf kwa jamaa yako wakati unajua ni wew
Kaja kivingine, lakini ndiye. Vyuo vyetu havina utaratibu wa kuhamisha credits?!
Aliye andika thread ndo mhusika mkuu!😁

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Haisumbui hata,peleka barua kwa dean of faculty ya kuomba ku carry over course zako,then atakupa barua uende kwa It ili akurudishe kwenye system afu unaenda kulipia,hapo ndo unakua rasmi,tena komaa umalize hivyo vimeo this year ukichelewa results zinafutwa zote.
 
Back
Top Bottom