Nimeipata sehemu kwa mtafit mmoja mdada au wadada kama watatu hiv,
Ni kuwa eti asilimia 90% ya wanaume hapa bongo huwa hawatumii CONDOM na ikitokea anatumia ujue ni maamuzi ya mwanamke.
Kwa hiyo inaamana kama mwanamke hatouliza kuhusu CONDOM eti sisi huwa tunazama tu, je inaukweli hii tuwe wakweli?