Simply_Geniuz
Member
- May 12, 2015
- 88
- 17
Muda huu mtangazaji wa Clouds Fm kipindi cha power breakfast ametangaza kuwa mahojiano baina ya kipindi hicho na Edward Lowassa yaliyotangazwa kufanyika leo yameahirishwa na yatafanyika kesho asubuhi..
Wale tuliokuwa tunasubiria mpe taarifa na mwenzio kuwa ndo hivyo yatafanyika kesho
umekosa kaz ya kufanya mkuu