Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Raisi wa yanga.Tunasubiri kwa hamu kumsikiliza Rais Mtarajiwa.
Raisi wa yanga.Tunasubiri kwa hamu kumsikiliza Rais Mtarajiwa.
Muda huu mtangazaji wa Clouds Fm kipindi cha power breakfast ametangaza kuwa mahojiano baina ya kipindi hicho na Edward Lowassa yaliyotangazwa kufanyika leo yameahirishwa na yatafanyika kesho asubuhi..
Wale tuliokuwa tunasubiria mpe taarifa na mwenzio kuwa ndo hivyo yatafanyika kesho
Anakuja kuongea nini?? Tumemchoka.
Wameeleza vizuri kuwa Lowasa alikuwa Musoma jana hivyo kesho ndio wataongea nae
Hilo halijatamkwa kwa kweli
Kiongozi wa kweli ni yule ambaye wananchi WANAJIPENDEKEZA KWAKE HUKU WAKIMSHAWISHI AWAONGOZE.
Kiongozi wa kubumba ni yule anayetumia nguvu kubwa kushawishi,kuhonga na kulaghai ili WAMCHAGUE YEYE AWAONGOZE.
Hayo tumeshayaona mtu alitumia miaka 10 kwa mtandao wake kuhakikisha anachaguliwa kuongoza. Lakini tulichoshuhudia nikuwa hakuwa anajua anataka kazi hiyo ili awafanyie nini waliomchagua zaidi ya kuwaambia hajui kwa nini wao ni maskini.
Raisi wa yanga.
Muda huu mtangazaji wa Clouds Fm kipindi cha power breakfast ametangaza kuwa mahojiano baina ya kipindi hicho na Edward Lowassa yaliyotangazwa kufanyika leo yameahirishwa na yatafanyika kesho asubuhi..
Wale tuliokuwa tunasubiria mpe taarifa na mwenzio kuwa ndo hivyo yatafanyika kesho
...so what ? atakiri kurudisha hela za Richmond...
Hebu tukumbushe tusiojua alichukuwa kiasi gani? Kesi hiyo ni namba ngapi na iliripotiwa kituo gani?
Tunasubiri kwa hamu kumsikiliza Rais Mtarajiwa.