telfontelfon
Member
- Jul 2, 2018
- 40
- 121
Ndugu Zangu Nimemaliza Chuo Hapa Sua sasa kipindi nasoma nilikuwa najichanga ili niweze kwenda Denmark Kupata Masters... Lakini mimi nina nauli na hela ya kunikimu huko Ada Sina Ila Mpango Wangu Nikifika Kule Nifanye Kazi Mbali Mbali Nili Niweze Kupata Ada Au Niende Hata kwenye Vyuo Kuomba Bursaries Na Scholarships Ivi Kinawezekana Hiki Kitu ?