Kuhusu kujiungana NATO: Ukraine isahau kujiunga na NATO, na NATO wanajua hivyo

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,037
Ili Ukraine ijiunge na NATO inabidi vita kati yake na Urusi ikome. Na kwa Tafisiri ya UKraine ambayo NATO wataitumia kuamua kama vita imekoma ni kuona Crimea na majimbo mawili ya DONBASS yamerejea kwenye himaya ya Ukraine!! Kwa kuwa hili halitatokea milele, kwa hiyo Ukraine haitajiunga na NATO milele!!

Ndiyo maana kwenye mkutano wa NATO imeshindikana kuweka ratiba mahususi ya lini Ukraine itajiunga na NATO. Zelensky amenuna na kusema "This is absurds" (huu ni upumbavu).
 
Moja ya kanuni muhimu za kupokelewa uanachama ni nchi kutokuwa na territorial conflict!

Kama ukraine iko desperate kujiunga NATO basi shortcut ni wao Ukraine kukubali kuachia maeneo na kuingia makubaliano na Russia kuwa Occupied areas zote zitabaki kuwa Russia!

So suala la NATO bado sana!Tunaweza kufa kizazi chetu hiki na hilo lisitokee!
 
.
20230316_002327.jpg
 
NATO kwa sasa wanamvumlia sana Zelensky na matusi yake kwa sababu anatumika kama nyenzo ya kujaribu kuidhoofisha urusi kwa kutumia damu ya wa-ukraine!! Baada ya kutumikia matakwa ya NATO lazima watamgeukia na si ajabu akaishia kama Osama bin Laden!!
Amewaambia ni wapumbavu lakini wamemezea tu!! Wamemjibu kwa upole!!

Stoltenberg is again asked about Zelensky's tweet saying it is “absurd” that no timetable is given for Ukraine's bid to join Nato, which we reported earlier.

The Nato head answers by saying that they are providing a very substantial package with many different elements which helps Ukraine move towards Nato membership.

He says they are giving Ukraine very practical support.

He adds that there has never been a stronger message from Nato at any time, both on political and concrete practical support.

"If you look at all the membership processes they are not based on timelines, they are conditions-based as it has always been," he adds.
 
NATO kwa sasa wanamvumlia sana Zelensky na matusi yake kwa sababu anatumika kama nyenzo ya kujaribu kuidhoofisha urusi kwa kutumia damu ya wa-ukraine!! Baada ya kutumikia matakwa ya NATO lazima watamgeukia na si ajabu akaishia kama Osama bin Laden!!
Amewaambia ni wapumbavu lakini wamemezea tu!! Wamemjibu kwa upole!!

Stoltenberg is again asked about Zelensky's tweet saying it is “absurd” that no timetable is given for Ukraine's bid to join Nato, which we reported earlier.

The Nato head answers by saying that they are providing a very substantial package with many different elements which helps Ukraine move towards Nato membership.

He says they are giving Ukraine very practical support.

He adds that there has never been a stronger message from Nato at any time, both on political and concrete practical support.

"If you look at all the membership processes they are not based on timelines, they are conditions-based as it has always been," he adds.
Kwani NATO ndio walimtuma Urusi aivamie Ukraine kwanini lawama za Urusi kuivamia Ukraine wanapelekewa Ukraine na NATO na kumbeba mvamizi Urusi aliyeanzisha vita vya kichokozi na vya kiporaji vya ardhi ya Ukraine
 
Kwani NATO ndio walimtuma Urusi aivamie Ukraine kwanini lawama za Urusi kuivamia Ukraine wanapelekewa Ukraine na NATO na kumbeba mvamizi Urusi aliyeanzisha vita vya kichokozi na vya kiporaji vya ardhi ya Ukraine
sasa mkuu nato si ipo kwa ajili ya kutetea mataifa yanayoonewa na madikteta kama libya iraq siria afghanistan si walifanya hivo wanangoja nini kwa russia .......
kwanini hao nato wasiingilie kati wakamvamie RUSSIA kwa putin kwani wanakwama wapi mkuu....?
IMG_20230712_151557.jpg
 
Ili Ukraine ijiunge na NATO inabidi vita kati yake na Urusi ikome. Na kwa Tafisiri ya UKraine ambayo NATO wataitumia kuamua kama vita imekoma ni kuona Crimea na majimbo mawili ya DONBASS yamerejea kwenye himaya ya Ukraine!! Kwa kuwa hili halitatokea milele, kwa hiyo Ukraine haitajiunga na NATO milele!!

Ndiyo maana kwenye mkutano wa NATO imeshindikana kuweka ratiba mahususi ya lini Ukraine itajiunga na NATO. Zelensky amenuna na kusema "This is absurds" (huu ni upumbavu).
Namuonea huruma sana Raisi Zelenskyy. Treaties nyingi baina ya NATO au Unilateral treaties na Bilateral treaties na Warusi zinawafunga vibaya Nchi za magharibi. Huyu Zelenskyy amesema yale ya moyoni kabisa ukizingatia juhudi zake za mda mrefu kati yake na Umoja wa Ulaya na Alliance NATO. Nafikiri America ndio kikwazo na SALT na SALT2 zao.
 
  1. President Zelensky has arrived in Vilnius after hitting out at Nato, for what he sees as delays to making Ukraine a member
  2. He says it's "unprecedented and absurd" not to have a timeframe for Ukraine's membership
  3. "Uncertainty is weakness," he adds. "And I will openly discuss this at the summit"
Kajamaa kanawatukana wanaokasaidia
 
Moja ya kanuni muhimu za kupokelewa uanachama ni nchi kutokuwa na territorial conflict!

Kama ukraine iko desperate kujiunga NATO basi shortcut ni wao Ukraine kukubali kuachia maeneo na kuingia makubaliano na Russia kuwa Occupied areas zote zitabaki kuwa Russia!

So suala la NATO bado sana!Tunaweza kufa kizazi chetu hiki na hilo lisitokee!
Kwani hawo Russia au Putin ataweza kuhimili fitina za wa magharibi kwa miaka 5 mbele. Akiweza kuhimili miaka iyo 5. Basi Ukraine haitakuwepo NATO
 
Back
Top Bottom