Manaosubiri NATO kuingiza majeshi Ukraine katika mgogoro huu mtasubiri sana.

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,147
33,297
Kwanza kabisa tukubali kuwa Urusi ni mwamba.
Pia tukubali kuwa ni kweli hii ni operation maalumu kama Wanavyoiita wao Urusi.

Ni kweli lengo la Urusi ni kuiodhiofisha kijeshi Ukraine na ni kweli Sasa Ukraine imedhoofika kabisa kijeshi kwa sababu kambi zake zote muhimu zimeharibiwa na miundimbinu mingi sana ya kijeshi imeharibiwa na hilo ndio lilikua moja ya malengo muhimu ya Urusi.

Lengo kingine kubwa kabisa ni kua Ukraine haitajiunga milele na NATO.
Na hapa ndio mzizi wa fitina ulipo na Urusi kashamaliza kazi.
Ukraine akija kujiunga na NATO basi watu wa west wote ni vichaa.

Tukubali kuwa hakuna muda maalumu tuliotangaziwa na Urusi kuwa hii Operation Yao itadumu mda Gani,hili tusiwalishe maneno.
Kama Kuna mtu alisikia kuwa walitamka itadumu mda Gani anitajie ntafuta aya hii ya mda.

Vita Ina Siri nyingi sana ,Kambi ya Ukraine Wana Siri zao na Kambi ya Urusi Wana Siri zao.

NATO haiwezi kuingiza majeshi yake.

Kama TU kuiwekea vikwazo Urusi Hali za kiuchumi za nchi nyingi duniani zimeanza kuyumba na zaidi kwa hizo nchi zilizoweka vikwazo,yaani nchi za Magharibi.
Je itakuaje kama nchi hizo zitaingiza majeshi yake Ukraine kwenda kupambana na Urusi?

Tuanze .

Iraq iliivamia Kuwait,USA na washirika wake ambao wengi ni NATO walitenda upande wa Kuwait na kumpiga Iraq Hadi kumrudisha nyuma,nyumbani kwake.

Sasa kwa mzozo huu,maana yake NATO wataingia Ukraine kumpiga Urusi na kumtoa Ndani ya Ukraine.
Je hili linawezekana?

Ukweli ni kwamba NATO wakiingia Maana yake Urusia atalazimika kubadili mbinu za vita kutoka operation na kua vita kamili.

NATO wanaujua uwezo wa kijeshi wa Urusi hawawezi kuingia kizembe wataingia na nguvu kubwa,Urusi nae ataongeza nguvu na atabadilisha shabaha,kutoka kupiga Kambi za Ukraine na kuanza kupiga Kambi za nchi za NATO.

Hapa ndipo Wananchi wa nchi za west hawatawaruhusu Viongozi wao waingie.

Vita hiyo itakua hivi.
Naomba niongelee upande wa Urusi kwanza kwa kirefu.

NATO wakiingia Urusi ,(na hata west ) kitu Cha kwanza ambacho " natoa mfano TU" wanachweza kufanya ni kama vita kati ya NATO na Urusi ikipamba moto,ni kwa uwezo wao wa makombora ni kupiga ama kulenga Kambi zote za kijeshi za nchi za NATO Ulaya na Marekani,

Kulenga na kupiga makao makuu yote ya nchi za NATO Ulaya na Marekani,ili kuharibu mawaziliano ya kutoa amri au miongozo ya kivita.

Kupiga na kulipua viwanda vyote vya silaha vya nchi za NATO,

Kulipua na kuangamiza viwanda vyote muhimu,viwanda mama,viwanda UTI wa mgongo wa nchi za NATO,ili kizidhoofisha kiuchumi nchi hizo.

Kulenga ama kupiga miundimbinu yote ya nchi za NATO,

Kupiga ikulu zote za NATO,

Kuharibu kwa kulipua kwa makombora sehemu zote za kiuchumi,kama viwanda na sehemu muhimu zote za biashara,visima vya mafuta ,migodi na sehemu zote zinazowaingizia mapato.


Kulipua na kuharibu Bandari zote, air pot zote railway station zote za nchi za NATO.

Klipua Kambi zote za Kijasusi za nchi za NATO,

Kwa uchache ni hayo.

Sasa tuje kwenye athari,
Unajua sehemu zote hizo ni zinztoa ajira?
Ni raia Gani wa ulaya au USA Yuko radhi kupoteza ajira kwa sababu ya ujinga wa Ukraine kutaka ajiunge NATO?
Ni nchi Gani mwanachama ama asie mwanachama wa NATO Yuko tayari kwa mtafaruki huo?

Je Dunia inayojiita ya wastaarabu wako tayari raia wao wawe wakimbizi Afrika? Au Uarabuni au Mashariki ya mbali? Kwa sababu ya Ukraine lazima ijiunge NATO?


Kwa uchache ni hayo.

Lakini pia wafuasi wa NATO,mliwahi kufikiria kuwa kama NATO ikiingiza majeshi Ukraine kupambana na Urusi kuwa Uchina nayo haitaacha kuingia upande wa Urusi,Korea Kaskazini,Iran,Syria na nchi nyingi nyinginezo zikimsapoti Urusi?
Wanamgambo mbalimbali kama Hizbola,mamluki wasioipenda NATO na. Vikundi tofauti tofauti.

Jamani NATO sio kwamba inapendwa na watu wote.

Nimeyafikiria hayo kwa kuangalia pia kuwa hata NATO nao wanawaza kua ikitokea vita kati Yao na Urusi hata wao pia inawezekana shabaha zao au malengo Yao nao ni kupiga sehemu muhimu za kijeshi na kiuchumi za Urusi.

Sasa je Raia wa NATO wako tayari kwa Hali hiyo?

Nimetoa maoni yangu TU jamani.
Wasiwasi ndio akili.

Vita sio nzuri
Lakini kama hamna makubaliano kwa njia za mazungumzo ndio watu huanzisha vita,pengine upande unaokataa mazungumzo huelewa zaidi lugha ya vita.
 
NATO hana hiyo jeuri ya kuingia vitani moja kwa moja na Urusi au north korea bila ulazima wa kiwango cha SGR.

Na siyo kwamba anaogopa kushindwa bali anaogopa athari watakazopata raia wake baada ya hiyo Vita kutokana na uwezo mkubwa walionao urusi juu ya chemical weapons pia wana wasiwasi na akili za putin na mr kiduku, hawa watu wakivurugika hawachelewi kurusha nukes bila kujali na wao utakavyo washambulia.

Na hakuna nchi duniani hasa hizo zilizoendelea kiuchumi na kijamii zinataka wala kuombea nuclear bombs zitue kwenye ardhi yao, wanaweza wakajikuta wamerudi miaka 100 nyuma.

"THERE IS NO MERCY IN THE BATTLE FIELD" Three kingdom Movie.
 
Hivi mkisikia Volunteers mnadhani ni akina nani??hii lugha tu ya kuhadaa ulimwengu..

Kiukweli karibu majeshi yote ya nchi wanachama NATO Yapo on the Ground,ndio wanatoa aid katika kila nyanja,mpaka waisrael wamo
NATO anatoa Mpaka vifaa,kwa maana ya silaha mpaka inteligency.
 
Hivi mkisikia Volunteers mnadhani ni akina nani??hii lugha tu ya kuhadaa ulimwengu..

Kiukweli karibu majeshi yote ya nchi wanachama NATO Yapo on the Ground,ndio wanatoa aid katika kila nyanja,mpaka waisrael wamo
NATO anatoa Mpaka vifaa,kwa maana ya silaha mpaka inteligency.
Hii kauli jamaa amezidiwa sidhani kama ina ukweli, Russia amekutana na upinzani mzito.
 
NATO hana hiyo jeuri ya kuingia vitani moja kwa moja na Urusi au north korea bila ulazima wa kiwango cha SGR.

Na siyo kwamba anaogopa kushindwa bali anaogopa athari watakazopata raia wake baada ya hiyo Vita kutokana na uwezo mkubwa walionao urusi juu ya chemical weapons pia wana wasiwasi na akili za putin na mr kiduku, hawa watu wakivurugika hawachelewi kurusha nukes bila kujali na wao utakavyo washambulia.

Na hakuna nchi duniani hasa hizo zilizoendelea kiuchumi na kijamii zinataka wala kuombea nuclear bombs zitue kwenye ardhi yao, wanaweza wakajikuta wamerudi miaka 100 nyuma.

"THERE IS NO MERCY IN THE BATTLE FIELD" Three kingdom Movie.
Kwahiyo wewe unajua sana kuliko wenyewe wazungu...
 
Russia is just overrated. Members wa NATO sio kwamba wanamuogopa as such ila wanaepuka kuescalate situation bila ulazima.

Option waliyochukua ni kumsupply weapons Ukraine mchana kweupe bila woga wala siri na Russia hana cha kuwafanya maana watamshukia directly kama mwewe
 
Kwanza kabisa tukubali kuwa Urusi ni mwamba.
Pia tukubali kuwa ni kweli hii ni operation maalumu kama Wana yiita wao Urusi.

Ni kweli lengo la Urusi ni kuiodhiofisha kijeshi Ukraine na ni kweli Sasa Ukraine imedhoofika kabisa kijeshi kwa sababu kambi zake zote muhimu zimeharibiwa na miundimbinu mingi sana ya kijeshi imeharibiwa na hilo ndio lilikua moja ya malengo muhimu ya Urusi.

Lengo kingine kubwa kabisa ni kua Ukraine haitajiunga milele na NATO.
Na hapa ndio mzizi wa fitina ulipo na Urusi kashamaliza kazi.
Ukraine akija kujiunga na NATO basi watu wa west wote ni vichaa.

Tukubali kuwa hakuna muda maalumu tuliotangaziwa na Urusi kuwa hii Operation Yao itadumu mda Gani,hili tusiwalishe maneno.
Kama Kuna mtu alisikia kuwa walitamka itadumu mda Gani anitajiea ntafuta aya hii ya mda.

Vita Ina Siri nyingi sana ,Kambi ya Ukraine Wana Siri zao na Kambi ya Urusi Wana Siri zao.

NATO haiwezi kuingiza majeshi yake.

Kama TU kuiwekea vikwazo Urusi Hali za kiuchumi za nchi nyingi duniani zimeanza kuyumba na zaidi kwa hizo nchi zilizoweka vikwazo,yaani nchi za Magharibi.
Je itakuaje kama nchi hizo zitaingiza majeshi yake Ukraine kwenda kupambana na Urusi?

Tuanze .

Iraq iliivamia Kuwait,USA na washirika wake ambao wengi ni NATO walitenda upande wa Kuwait na kumpiga Iraq Hadi kumrudisha nyuma,nyumbani kwake.

Sasa kwa mzozo huu,maana yake NATO wataingia Ukraine kumpiga Urusi na kumtoa Ndani ya Ukraine.
Je hili linawezekana?

Ukweli ni kwamba NATO wakiingia Maana yake Urusia atalazimika kubadili mbinu za vita kutoka operation na kua vita kamili.

NATO wanaujua uwezo wa kijeshi wa Urusi hawawezi kuingia kizembe wataingia na nguvu kubwa,Urusi nae ataongeza nguvu na atabadilisha shabaha,kutoka kupiga Kambi za Ukraine na kuanza kupiga Kambi za nchi za NATO.

Hapa ndipo Wananchi wa nchi za west hawatawaruhusu Viongozi wao waingie.

Vita hiyo itakua hivi.
Naomba niongelee upande wa Urusi kwanza kwa kirefu.

NATO wakiingia Urusi ,(na hata west ) kitu Cha kwanza ambacho " natoa mfano TU" wanachweza kufanya ni kama vita kati ya NATO na Urusi ikipamba moto,ni kwa uwezo wao wa makombora ni kupiga ama kulenga Kambi zote za kijeshi za nchi za NATO Ulaya na Marekani,

Kulenga na kupiga makao makuu yote ya nchi za NATO Ulaya na Marekani,ili kuharibu mawaziliano ya kutoa amri au miongozo ya kivita.

Kupiga na kulipua viwanda vyote vya silaha vya nchi za NATO,

Kulipua na kuangamiza viwanda vyote muhimu,viwanda mama,viwanda UTI wa mgongo wa nchi za NATO,ili kizidhoofisha kiuchumi nchi hizo.

Kulenga ama kupiga miundimbinu yote ya nchi za NATO,

Kupiga ikulu zote za NATO,

Kuharibu kwa kulipua kwa makombora sehemu zote za kiuchumi,kama viwanda na sehemu muhimu zote za biashara,visima vya mafuta ,migodi na sehemu zote zinazowaingizia mapato.


Kulipua na kuharibu Bandari zote, air pot zote railway station zote za nchi za NATO.

Klipua Kambi zote za Kijasusi za nchi za NATO,

Kwa uchache ni hayo.

Sasa tuje kwenye athari,
Unajua sehemu zote hizo ni zinztoa ajira?
Ni raia Gani wa ulaya au USA Yuko radhi kupoteza ajira kwa sababu ya ujinga wa Ukraine kutaka ajiunge NATO?
Ni nchi Gani mwanachama ama asie mwanachama wa NATO Yuko tayari kwa mtafaruki huo?

Je Dunia inayojiita ya wastaarabu wako tayari raia wao wawe wakimbizi Afrika? Au Uarabuni au Mashariki ya mbali? Kwa sababu ya Ukraine lazima ijiunge NATO?


Kwa uchache ni hayo.

Lakini pia wafuasi wa NATO,mliwahi kufikiria kuwa kama NATO ikiingiza majeshi Ukraine kupambana na Urusi kuwa Uchina nayo haitaacha kuingia upande wa Urusi,Korea Kaskazini,Iran,Syria na nchi nyingi nyinginezo zikimsapoti Urusi?
Wanamgambo mbalimbali kama Hizbola,mamluki wasioipenda NATO na. Vikundi tofauti tofauti.

Jamani NATO sio kwamba inapendwa na watu wote.

Nimeyafikiria hayo kwa kuangalia pia kuwa hata NATO nao wanawaza kua ikitokea vita kati Yao na Urusi hata wao pia inawezekana shabaha zao aualengo Yao nao ni kupiga sehemu muhimu za kijeshi na kiuchumi za Urusi.

Sasa je Raia wa NATO wako tayari kwa Hali hiyo?

Nimetoa maoni yangu TU jamani.
Wasiwasi ndio akili.

Vita sio nzuri
Lakini kama hamna makubaliano kwa njia za mazungumzo ndio watu huanzisha vita,pengine upande unaokataa mazungumzo huelewa zaidi lugha ya vita.
Ni ovyo kabisa umeandika., NATO tokea siku ya kwanza walisema hawataindia direct ukraine kwa sababu zao moja ikiwa ni Ukraine bado hajakuwa mwanachama wa NATO.,

Lakini kama unataka kujua NATO anashiriki vipi hii vita jiulize kasi ya mashambulizi aliyokuwanayo russia imeishia wapi?? tuliaminishwa wameizingira Kyiv na kuwataka majeshi ya Ukraine yasalimu amri lakini hatukuona impact yoyote toka majeshi ya Russia baada ya wapiganaji wa Ukraine kukataa kusalimu amri

Kilichotokea russia wamefurushwa na kupigwa Stinger na Javelin za nguvu mpaka na vikosi vyao vikarudishwa nyuma na kwenda kushikilia Donbass na kuilinda upya, Khakiv pia imegombolewa

Lakini tuseme shida ilikuwa vituo vya kijeshi je yale majengo ya raia na hospitali walipiga kwa bahati mbaya continuously everyday?

Lengo kuu lilokuwa katika kichwa cha Putini ni kumtoa Zelensky na kuweka kumsimamisha kibaraka wake ili afuate matakwa ya russia lakini katika jambo alilofeli 100% putini ni hili, ulimwengu mzima unaelewa.

Naamini Russia kama itakuja tena kuinuka kiuchumi basi hawatajaribu tena kuvamia nchi yoyote, hii vita Russia wame-miscalculated na imewagarimu sana na inaendelea kuwagarimu, jana nadhan umeskia Ukraine sasa walenga Russia maana yake ni kwamba hata Russia sasa hawako salama, warusi wanaishi kwa khofu

Marekani anajuta sana kuiaminisha dunia kwamba Urusi ni nchi hatari sana kwa silaha za kivita, sasaivi Marekani wamaeona udhaifu wa russia na wanaikebehi kwa kiwango cha juu sana, Russia saivi labda hizo nuclear tu na chemical za sumu lakini vita kama vita jamaa hana kitu yaani hana kitu ni mweupee
 
Ni ovyo kabisa umeandika., NATO tokea siku ya kwanza walisema hawataindia direct ukraine kwa sababu zao moja ikiwa ni Ukraine bado hajakuwa mwanachama wa NATO.,

Lakini kama unataka kujua NATO anashiriki vipi hii vita jiulize kasi ya mashambulizi aliyokuwanayo russia imeishia wapi?? tuliaminishwa wameizingira Kyiv na kuwataka majeshi ya Ukraine yasalimu amri lakini hatukuona impact yoyote toka majeshi ya Russia baada ya wapiganaji wa Ukraine kukataa kusalimu amri

Kilichotokea russia wamefurushwa na kupigwa Stinger na Javelin za nguvu mpaka na vikosi vyao vikarudishwa nyuma na kwenda kushikilia Donbass na kuilinda upya, Khakiv pia imegombolewa

Lakini tuseme shida ilikuwa vituo vya kijeshi je yale majengo ya raia na hospitali walipiga kwa bahati mbaya continuously everyday?

Lengo kuu lilokuwa katika kichwa cha Putini ni kumtoa Zelensky na kuweka kumsimamisha kibaraka wake ili afuate matakwa ya russia lakini katika jambo alilofeli 100% putini ni hili, ulimwengu mzima unaelewa.

Naamini Russia kama itakuja tena kuinuka kiuchumi basi hawatajaribu tena kuvamia nchi yoyote, hii vita Russia wame-miscalculated na imewagarimu sana na inaendelea kuwagarimu, jana nadhan umeskia Ukraine sasa walenga Russia maana yake ni kwamba hata Russia sasa hawako salama, warusi wanaishi kwa khofu

Marekani anajuta sana kuiaminisha dunia kwamba Urusi ni nchi hatari sana kwa silaha za kivita, sasaivi Marekani wamaeona udhaifu wa russia na wanaikebehi kwa kiwango cha juu sana, Russia saivi labda hizo nuclear tu na chemical za sumu lakini vita kama vita jamaa hana kitu yaani hana kitu ni mweupee
 
Back
Top Bottom