Kuhusu kuitisha kura ya maoni

Kuhusu kuitisha kura ya maoni

Sisi wananchi tunataka kura za maoni zipigwe mapema ili JPM aongezewe vipindi viwili vingine kuanzia 2025 hadi 2035.
 
Ulemavu wa akili ni tatizo kubwa sana nchini kwetu.

Hivi mtaacha lini kuwa walemavu wa akili?hivi waliotangulia wangeamua kufanya hayo unayoyataka huyo Magufuli ungemfahamu? hivi ni kweli baada ya Magufuli hakuna mtanzania mwingine wa kuiongoza Tanzania? Ni mlemavu wa akili pekee anayeweza kuwaza haya. Ni hatari kuishi na kuamini kwamba Magufuli yupo juu ya Tanzania yetu iliyojengwa kwa gharama kubwa na wazee wetu.
 
Wadau tumeshuhudia nchi jirani kama Rwanda wakifanya utaratibu wa kupiga kura ya maoni kwa lengo lakuongeza kipindi cha kukaa madarakani kwa Rais wa Rwanda. Naamini waliofanya hivyo walitumia haki yao ya kidemokrasia na hasa baada ya kuridhishwa na utendaji kazi mzuri wa Kiongozi wao mpendwa Mhesh. Paul Kagame. Kwa kuzingatia sababu hizo kwanini Tanzania tusiige mfano wa jirani zetu ili kumuwezesha Kiongozi wetu mpendwa kupata muda wa kutosha kutuletea maendeleo nchi yetu na kutuondoa kwenye umaskini? Nawasilisha
We ni mpumbavu wa wapumbavu
 
Akili za kijinga sana hizi!!

Kwani sheria inamkataza Magufuli kugombea 2020?! Unataka kura ya maoni pasiwe na uchaguzi 2020 au kura ya maoni ya nini hasa?!

No wonder JPM amesema ana mawaziri wapumbavu kwa sababu anateua kutoka miongoni mwa mapumbavu!!!
 
Rais bado ana nafasi ya kugombea tena 2020, muda huo ukikaribia kuisha ndipo utuletee huu UZWAZWA wako tuujadili.

Kwa sasa ni mapema mno kuwaza Magufuli kuongezewa muda wa kutawala na mtamfanya avimbe kichwa bure na kuanza kuvuruga mtiririko mzima ambao kwa huo wengi mmepata kumpenda.

Nashauri acheni mhemko, akishinda 2020 ndipo mtajua kweli anapendwa na ndipo mtampa nafasi ya kuongeza muda. Mtulie watu tupate maendeleo toka kwa rais wetu mpendwa kabla hajaondoka madarakani.

Kila mtu ana hamu ya maendeleo na kila mtu anayasubiri kwa hamu kama alivyoahidiwa na Kiongozi huyu mteule.

Nawasilisha pia.
 
Kwa uzalendo wake ndio maana aongezewe mda, swala sio hakuna mtanzania kama yeye, akiwepo wa kumzidi uzalendo apewe. Tangu mwalimu hakuna kama yeye, angekuwepo tungepaa kimaendeleo. Kuliko achukue mtu aharibu aongezewe mda kwa kucheza na katiba kama Rwanda, katiba ni yetu na uwezo ni wetu. Mungu ibariki Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joseph lebai,hakuna mtanzania kama yeye?
Kweli unafikiri au unajifunza jinsi ya kufikiri?
 
Back
Top Bottom