Geeky
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 307
- 181
Nimejaribu ku connect dots nikakumbuka statistics alizotoa wakili Mabere Marando alipokutana na waandishi wa habari kuhusiana na kesi ya Rwakatare aligusia pia suala la makampuni ya simu Kenya kulipa $ 17m, Rwanda $7m and tz < $1m.
Sikuamini bt kuna sababu kuamini sasa kwamba makampuni ya simu hapa Tz yana lobbying system ya nguvu sana kwani suala la simcard lilipita kwa nguvu zote bungeni.
Kinachofanyika ni kuendeleza misamaha ya kodi huku mzigo huo akibebeshwa mwananchi. So japo kodi zinazotokana na makampuni ya simu zitaongezeka haitamaanisha zinalipwa na kampuni hizo bali mlala hoi.
Lakini vyovyote vile itakavyokua hakatwi mtu hapa.
---kuweka kumbukumbu sahii
Kenya wanakusanya $79m
Rwanda $16m
Tz < $ 1m
Sikuamini bt kuna sababu kuamini sasa kwamba makampuni ya simu hapa Tz yana lobbying system ya nguvu sana kwani suala la simcard lilipita kwa nguvu zote bungeni.
Kinachofanyika ni kuendeleza misamaha ya kodi huku mzigo huo akibebeshwa mwananchi. So japo kodi zinazotokana na makampuni ya simu zitaongezeka haitamaanisha zinalipwa na kampuni hizo bali mlala hoi.
Lakini vyovyote vile itakavyokua hakatwi mtu hapa.
---kuweka kumbukumbu sahii
Kenya wanakusanya $79m
Rwanda $16m
Tz < $ 1m
Last edited by a moderator: