Je kama upo kwenye reserve Jkt na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?
Unahisi akiba hutumika kabla ya matumizi ya awali ?Karoge ili first eleven waonekane na. UnfitJe kama upo kwenye reserve Jkt na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?
Nipo kwenye hatua ya usahili,tumetoka ngazi ya mkoa now ni ngazi ya Jkt ule usahili wa mwisho ila mimi nipo kwenye kundi reserve! Ndio maana yangu nduguBado ujaeleweka pangilia vizuri maneno yako
Diploma kaka! Kesho ndio wanakuja jkt kufanya usahili wa mwisho tupo reserve kama 6 hiviUliiomba kwa level gani ya elimu
Hii sio sehemu kwaajili ya kejeli tupo hapa kueleweshana kua mstaarabu boss..Unahisi akiba hutumika kabla ya matumizi ya awali ?Karoge ili first eleven waonekane na. Unfit
Haujanielewa! Naanish tupo kwenye usahili wa mwishoSafari yako kwenda wapi?! Ukikosa kazi rudi JKT ukaendelee kujifunza uzalendo, ukiona hupati kazi ujue huja wa impess employers, ama urudi JKT au uende ukalime au ukafanye kazi za kujitolea kudhihirisha uzalendo wako.
Duh 😂 upo humu kwaajili ya kukatisha watu tamaa au? Kupeana maelekezo na kueleweshana? Kweli mchawi sio kupaa tuHahahahaa aisee unakufa mzee ,
Tafuta shule ufundishe kama bro ema
kwan mlikuwa na safari ya kwenda wapi?Je kama upo kwenye reserve Jkt na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?
kwahiyo hapa unataka tukusaidieje?Nipo kwenye hatua ya usahili,tumetoka ngazi ya mkoa now ni ngazi ya Jkt ule usahili wa mwisho ila mimi nipo kwenye kundi reserve! Ndio maana yangu ndugu
Ukijua jamii forums ni nini Utakua umepata jibu,ahsante🙋kwahiyo hapa unataka tukusaidieje?
kwann usiwaulize huko jkt?
nimekuelewa Dogo,hapo wewe wa reserve ni kama substitution player kwenye soccer,akija kuonekana mtu kukosa au kupungukiwa vigezo (au any unfitiness) kwa yyt walioko kwny first eleven nyie mmoja wapo ndo ataingia kucover nafas itakayoachwa wazi,,,,,,marufuku kukata tamaa dogo,pambana hii mizigo muda mwingine ni zali maiki,pambana hadi mwisho dogoNipo kwenye hatua ya usahili,tumetoka ngazi ya mkoa now ni ngazi ya Jkt ule usahili wa mwisho ila mimi nipo kwenye kundi reserve! Ndio maana yangu ndugu
Nakubali maiki jah bless🙏nimekuelewa Dogo,hapo wewe wa reserve ni kama substitution player kwenye soccer,akija kuonekana mtu kukosa au kupungukiwa vigezo (au any unfitiness) kwa yyt walioko kwny first eleven nyie mmoja wapo ndo ataingia kucover nafas itakayoachwa wazi,,,,,,marufuku kukata tamaa dogo,pambana hii mizigo muda mwingine ni zali maiki,pambana hadi mwisho dogo
Kama zali hakuna haja ya kupambananimekuelewa Dogo,hapo wewe wa reserve ni kama substitution player kwenye soccer,akija kuonekana mtu kukosa au kupungukiwa vigezo (au any unfitiness) kwa yyt walioko kwny first eleven nyie mmoja wapo ndo ataingia kucover nafas itakayoachwa wazi,,,,,,marufuku kukata tamaa dogo,pambana hii mizigo muda mwingine ni zali maiki,pambana hadi mwisho dogo
hizi akili za panzi we nanga,ina maana hadi Leo hujui kuwa mtembea bure si sawa na mkaa bure???kwahyo likiwa ni zali ujifungie ndani na kulala tu litakukuta au siyo???acha upang'ang'aKama zali hakuna haja ya kupambana
Hahaha kafafanue kule juu, hapa bado hueleweki.Haujanielewa! Naanish tupo kwenye usahili wa mwisho
Muda unaoenda kupoteza huko kwa kupigishwa kwata si ni bora ukaanze kufyeka mashamba yenu kule kijijini ukalime karanga.Je, kama upo kwenye reserve JKT na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?