Kuhusu JKT reserve

Kuhusu JKT reserve

Usikate tamaa niliwahi kuwa reserve sema walionitangulia wawil presha ikawa juu.....nilifanikiwa mpka huko jakata lkn sahv nishalud kuwa mkulima uraian.....
Nilichofanikisha huko j.k.t ni mke tuu tulipolud wote baada ya mkataba kuisha.....tulijipanga now lyf goes on.........
 
Kama wenzako wamefanya usahili na washapimwa wakapita wee hukufanya andika umeumia
Je, kama upo kwenye reserve JKT na ikaonekana walio chaguliwa hakuna mwenye kasoro wote wapo sawa nilikua napenda kufahamu je" hapo ndio mwisho wa safari yangu?
 
Wenzio wamekaa huko miaka mitatu na bado wamepigwa chini ajira.Leo wewe unaenda kwa hiari yako ili ukikosa kuajiriwa majeshini uje humu uanze kutusumbua na kuitukana serikali.
 
Kweli nchi hii watu vichwa vigumu kweli!
Kuna wajomba hapa jiran yangu walikuwa huko miaka mitatu imepita mi nilijua washaajiriwa kitambo!
Mwezi uliopita wamerudi maisha magumuuuu wamevurugwa tu ata vocha ya jero hawana... Halafu mtu bado unaenda huko??

Anyway kila la kher Ila mkataba ukiisha huko jkt msije kulia ila humu ndani oooh tumefundishwa kutumia silaha halafu wanaturudisha nyumbani
 
Back
Top Bottom