lamaa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 1,014
- 2,700
Usikate tamaa niliwahi kuwa reserve sema walionitangulia wawil presha ikawa juu.....nilifanikiwa mpka huko jakata[emoji117][emoji117][emoji117] lkn sahv nishalud kuwa mkulima uraian.....
Nilichofanikisha huko j.k.t ni mke tuu tulipolud wote baada ya mkataba kuisha.....tulijipanga now lyf goes on.........
Nilichofanikisha huko j.k.t ni mke tuu tulipolud wote baada ya mkataba kuisha.....tulijipanga now lyf goes on.........