KUHUSU FULL FUNDED SCHOLARSHIPS

Panzi Mbishi

JF-Expert Member
Mar 8, 2021
2,055
2,673
Wadau kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, tunapoelekea mwisho wa mwaka nimejipanga mwaka ujao nijaribu bahati yangu nje ya nchi, nahitaji kujua namna gani nitapata full funded scholarship hasa katika nchi nazoweza kusoma huku nikijishughulisha na vibarua hata kubeba box. Kuna jamaa yangu alisema kuna namna ambayo watumishi wanapata visa kirahisi sasa hapatikani tena kwenye simu zake na kwa kuwa nia yangu iko palepale nikaonelea nije kuomba msaada hapa.

Sababu za kuomba:
-Nina diploma, nahitaji kumalizia degree yangu lakini kutokana na majukumu ya kifamilia nadhani sitamaliza degree yangu. Degree ni ndoto yangu siko tayari kuachana nayo ndio maana nataka kusoma bure, kujilipia nimeshindwa.

-Nataka kupiga ndege wawili kwa jiwe moja, kusoma huku nikifanya kazi, mimi naamini elfu kumi ya nje si sawa na elfu kumi ya hapa. So, siendi kizembe.

-Kupata exposure zaidi na kupanua ufahamu juu ya masuala kadha wa kadha.

Kutokana na sababu hizo hapo juu wakuu wangu niko chini ya miguu yenu, najua JF hapakaukiwi taarifa na maarifa. Naombeni msaada wenu wakuu.

Nawasilisha
 
Dah watanzania
Mzigo wa nyax!
1. Diploma inaonyesha shule za kuunga-unga,
2. Kusoma bure? How?
3. Ndege wawili kwa Jiwe moja? Kivipi?
NB: Scholarship=umahiri katika fani yako, ingekuwa rahisi hivi leo hii vijana wengi wangekua na PhD.
 
Mzigo wa nyax!
1. Diploma inaonyesha shule za kuunga-unga,
2. Kusoma bure? How?
3. Ndege wawili kwa Jiwe moja? Kivipi?
NB: Scholarship=umahiri katika fani yako, ingekuwa rahisi hivi leo hii vijana wengi wangekua na PhD.
Umeandika kama una hakika na hayo ulitilia mashaka
 
Wadau kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, tunapoelekea mwisho wa mwaka nimejipanga mwaka ujao nijaribu bahati yangu nje ya nchi, nahitaji kujua namna gani nitapata full funded scholarship hasa katika nchi nazoweza kusoma huku nikijishughulisha na vibarua hata kubeba box. Kuna jamaa yangu alisema kuna namna ambayo watumishi wanapata visa kirahisi sasa hapatikani tena kwenye simu zake na kwa kuwa nia yangu iko palepale nikaonelea nije kuomba msaada hapa.

Sababu za kuomba:
-Nina diploma, nahitaji kumalizia degree yangu lakini kutokana na majukumu ya kifamilia nadhani sitamaliza degree yangu. Degree ni ndoto yangu siko tayari kuachana nayo ndio maana nataka kusoma bure, kujilipia nimeshindwa.

-Nataka kupiga ndege wawili kwa jiwe moja, kusoma huku nikifanya kazi, mimi naamini elfu kumi ya nje si sawa na elfu kumi ya hapa. So, siendi kizembe.

-Kupata exposure zaidi na kupanua ufahamu juu ya masuala kadha wa kadha.

Kutokana na sababu hizo hapo juu wakuu wangu niko chini ya miguu yenu, najua JF hapakaukiwi taarifa na maarifa. Naombeni msaada wenu wakuu.

Nawasilisha
Kuna organisation inaitwa TANSAO unawalipa kiasi flan (kkubwa kidogo) wao wanakusimamia kila hatua mpaka unapata scholarship wewe unatia akili yako kufaulu test. kichwani uwe vizuri kuna mitihani unafanya kama kichwa hakijakaa poa utakula hasara hela yako
 
Back
Top Bottom