Kuhusu form six waliomaliza mwaka huu

Kuhusu form six waliomaliza mwaka huu

Complicator

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
2,207
Reaction score
3,604
Wadau Niko namfanyia application dogo TCU ye yuko jkt ila nikifikia hatua ya kuingiza namba ya advance naambiwa haipo kwny database na dogo anadai ana uhakika kuwa hiyo ni namba sahihi,kuna mwenye kujua tatizo ni nini?
Kumbuka Leo ndio deadline
 
Leo sio mwisho kwani wewe hiyo namba unaiandikaje?
 
Mkuu waliopo kambini jkt almost kambi zote wamepewa pass out kwa ajili ya application za vyuo kwann uyo chalii asifanye mwenyewe io mambo
 
Hilo tatizo limetukumba waombaji wrngi.Inaonyesha kuna baadhi ya vijana wa mwaka huu necta database haikuingiingiza matokeo yao.Kama upo ddm nenda huko huko tcu watupatie majibu ya uhakika kisha upost humu wengine tupo mbali tumewatumia email hawajanijibu na sm zao zinapiga mluzi tu.
 
Usisahau kuandika mwaka alomaliza baada ya namba ya mtihani.
 
Andika namba kama ilivyo..usiweke kitu chochote wala kuruka space na tumia alama /badala ya - kila la kheri
 
Format ni S1866/0110/2015... Bodi ya mikopo ilikuwa S.1866.0110.2015
 
Wadau Niko namfanyia application dogo TCU ye yuko jkt ila nikifikia hatua ya kuingiza namba ya advance naambiwa haipo kwny database na dogo anadai ana uhakika kuwa hiyo ni namba sahihi,kuna mwenye kujua tatizo ni nini?
Kumbuka Leo ndio deadline

leo ndio deadline ya kufanya application?
 
Kumbe deadline ni tarehe 15,nimewasiliana nao wanasema bado kuna vijana hawajaingizwa kwenye database ya TCU kutoka necta kwahyo ukiwapigia Simu wanashughulika kuhakiki km namba ipo then process inaendelea
Ushauri wangu ni kwamba km kuna tatizo wasiliana nao ingawa hadi ukawapate unaweza kata tamaa,ila once wakipokea wanashughulikia vzr sana,nawatakia application njema,Tuombe Mungu wapate na Mikopo ya kueleweka.
 
Back
Top Bottom