Habarini humu, kuna rafiki yangu alifanya interview na erolink ya nbc customer care alianza na written na akamalizia na oral alifanya mwezi wa kumi na mbili mwanzoni zen wakamwambia watampigia simu ni mwezi na zaidi umeipata kimya hadi leo je ndio basi imetoka hiyo au? anaulizia kama watu walishaitwa kuanza kazi, mwenye kujua pls naomba info.