Kuhusu duce

Finder boy

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
608
150
Nimepata taarifa kuwa nimechaguliwa duce lakini nikijaribu kutembelea website yao niakikishe haifunguki (www.duce.ac.tz). Je, kuna njia mbadala? Kama ipo nisaidieni jamani!
 
Hata mimi hlo tatzo linansumbua maana inaniambia iko suspended.Labda wazoefu zaidi watusaidie juu ya hlo!
 
Back
Top Bottom