Kuhusu biashara ya maji

Kuhusu biashara ya maji

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2,000
Reaction score
3,395
Baada ya muda mrefu nimepata bahati ya kuja mjini DAR ES SALAAM nikaona maji ya kunywa brand mbalimbali ikiwemo Uhai, Hill nk zikiuzwa 500-600.

Cha ajabu ujazo huohuo kwetu yanauzwa 1000 hii imekaaje wadau nikisema ninunue nipeleke kule kwetu kwenye Jambo, Sequa na Kilimanjaro itakuaje....
 
Baada ya muda mrefu nimepata bahati ya kuja mjini DAR ES SALAAM nikaona maji ya kunywa brand mbalimbali ikiwemo Uhai, Hill nk zikiuzwa 500-600.

Cha ajabu ujazo huohuo kwetu yanauzwa 1000 hii imekaaje wadau nikisema ninunue nipeleke kule kwetu kwenye Jambo, Sequa na Kilimanjaro itakuaje....
Hayo maji huwezi fananisha na quality ya maji ya mkoa hata kidogo labda uuze 700
 
Ok nimekuelewa
Hamna mkuu ni kutokana na soko , uhai mill 1600 mwanza inauzwa 1000 , Ila DSM inauzwa 500 pale kariakoo maeneo mengine 600 au 700 Kwa DSM .....DSM kuna soko kubwa Sana la maji , kuliko mikoani so ushindani upo na hvyo hata Kwa bei ya chini bado faida inaonekana ,...

Mikoani soko la maji ya chupa lipo chini Sana , mtu anaenda hotelin Kula anakuta na maji ya kunywa mama ntilie kamwekea , akipinda pembeni Tu anaomba maji Kwa jirani anapewa ya mtungini alaf umwambie anunue ....mikoani pia pesa ni ngumu some how .....DSM hata familia zinatumia maji ya chupa .......

Sjajua imekaaje Ila kama Una mtaji mzito unaomba kuwa agent wa maji ya hill au Uhai utapiga pesa mikoani mana bei ya maji ya chupa ipo juu
 
Hamna mkuu ni kutokana na soko , uhai mill 1600 mwanza inauzwa 1000 , Ila DSM inauzwa 500 pale kariakoo maeneo mengine 600 au 700 Kwa DSM .....DSM kuna soko kubwa Sana la maji , kuliko mikoani so ushindani upo na hvyo hata Kwa bei ya chini bado faida inaonekana ,...mikoani soko la maji ya chupa lipo chini Sana , mtu anaenda hotelin Kula anakuta na maji ya kunywa mama ntilie kamwekea , akipinda pembeni Tu anaomba maji Kwa jirani anapewa ya mtungini alaf umwambie anunue ....mikoani pia pesa ni ngumu some how .....DSM hata familia zinatumia maji ya chupa .......

Sjajua imekaaje Ila kama Una mtaji mzito unaomba kuwa agent wa maji ya hill au Uhai utapiga pesa mikoani mana bei ya maji ya chupa ipo juu
Ngoja wadau wengine waje tuone wanasemaje
 
Hamna mkuu ni kutokana na soko , uhai mill 1600 mwanza inauzwa 1000 , Ila DSM inauzwa 500 pale kariakoo maeneo mengine 600 au 700 Kwa DSM .....DSM kuna soko kubwa Sana la maji , kuliko mikoani so ushindani upo na hvyo hata Kwa bei ya chini bado faida inaonekana ,...mikoani soko la maji ya chupa lipo chini Sana , mtu anaenda hotelin Kula anakuta na maji ya kunywa mama ntilie kamwekea , akipinda pembeni Tu anaomba maji Kwa jirani anapewa ya mtungini alaf umwambie anunue ....mikoani pia pesa ni ngumu some how .....DSM hata familia zinatumia maji ya chupa .......

Sjajua imekaaje Ila kama Una mtaji mzito unaomba kuwa agent wa maji ya hill au Uhai utapiga pesa mikoani mana bei ya maji ya chupa ipo juu

Hapa ndo pagumu, hivi philosophy ya Biashara hapa imekaaje, yaani Sehemu ambako watu Mzunguko na ununuaji maji ya Chupa ni mdogo BEI ipo juu tena !! , kwanini tusishushe ili wanunue ?
 
Quality ya maji ya mkoa imekaaje , fafanua
Maji ya mkoa mengi ni natural na vyanzo vyake ni bora huwezi linganisha udzwangwa au Kilimanjaro na masafi sijui afya unakuwa unakosea Kwanza kabisa afya ya vijiradha vya madawa ukiangalia maji kama hills kwa umakini unaweza kutana particles ndogondogo na uhai ndo kabisa hayana Radha ya madini sijui magadi japokua nimekunywa 2016
 
Back
Top Bottom