Wao wabadilishe madaraja ya ufaulu yawe ambayo wanafunzi wengii wameyapata ili watanzania wapate elimu ya chuo vikuu tuwe Na wasomi wengi nchi yetu iendelee.Vyuo vikuu ni Ving sana kwa madaraja hayo vitakosa wanafunzi.Hata hivyo kuwa Na Elimu siyo kwamba ndio kigezo cha kufanikia kimaisha, mbona kuna watu wengi hawana elimu ya madarasa ya juu sana km high schools au vyuo vikuu lkn wana mafanikio makubwa kimaisha ? Na kwa miundombinu ya shule zetu za kiserikali, hayo madaraja ya ufaulu ni magumu wanafunzi kuyapata kwa hiyo ni vizuri warekebishe hili suala ili vijana wakapate Elimu ya chuo kikuu kwa manufaa ya taifa letu.Nchi hii ni tajiri sana, serikali ifanye kweli ktk hzo alama za ufaulu, ma x-form 6 wafaulu wawape mikopo wakapate Elimu ya chuo kikuu.