Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,503
- 1,472
Kina bashite wapo wengi,wanajifanya wao ndo wasomi haliyakuwa form four walipata fafafafafa.anachofikiria yeye kila mwanafunzi anayefail anawaza ngono tu kama ukoo wake.Kwa maelezo haya ndugu huna cheti.
Huwez sema wanafunzi wote wana mawazo ya kingono kama wewe