Madafu leo rojorojo kabisa iko kwenye 1200...lolHahahahaha!Embu kwanza niambie bei ya madafu ikoje leo. . .
Driller nikibeba kigunia cha mchele na maharage, mtetea wawili, kigunia cha nyanya na vitunguu....hapo nimehonga vya kutosha halafu ukizingatia niko maeneo ya Sudan na Somalia huku kwenye njaa kwisha kazi
Mbona nilimpa sijui kwanini tu huwa hataki ku-login kama The Finestnaskia anataka umhonge password yako ya jf
hahaaaaa..! sasa wataalamu wanasemaje ili mtu aache kua bata kama ndo amezaliwa domo zege..!?
Dah!! We acha tu huku watu wanahonga mpaka miguu ya kuku, Lizzy yeye huyu mmasai kwahiyo nikimuhonga nyama kilo kumi inatosha sana..hahahahaaaaa hahaha..! ila wewe si unataka kumhonga lizzy..!? atakupa za kichwaaa..! asee huko nasikia hata ukipika chakula kika nukia vizuri ni hongo tosha.. watajipitisha pitisha hapo mpaka ujikute umenasa mwenyewe..!
Akija hapa awe anajua kuhonga sio anaishia kuhonga chips mayai na mountain dewhahaaa..! rocky anakuja muda sio mrefu..!
ila kuhongwa kuna raha yake bwana,haswa ukute anayejua kuhonga, mwenye nazo(maana mwanaume mwenye pesa ya mawazo atakuhesabia vitu vyote alivyokuhonga) yaani anakuhonga leo kesho anakuuliza 'baby kitu flani unakitaka?' ukimwambia yes anakuletea na fweza juu! Mashalaaaa iam missing those days!
siku hizi kuna Super trick inaitwa Ching Chong
hachomoi mtu hata ziwa victoria atahonga
sitaisema maana ntawaharibia watumiaji
hahaaa..! rocky anakuja muda sio mrefu..!
Madafu leo rojorojo kabisa iko kwenye 1200...lol
Badili Tabia sema unataka nikuhonge nini..sema fasta kabla sija log out..niki log out...kuhonga utaisikia kwenye bomba..haahahhhh bora usiitaje, midume ipo macho inataka kuijua. Wanaume wenyewe humu wanajifanya wajaaaanja ila wakiwa kwenye 18 zao wanahonga mpaka tai kwikwikwi
Hakyababu vile yaani hadi mwenye nyumba aligoma kunipangisha kisa nina EUROSeriously. . . . ?
ulijisikia bomba kwa kuhongwa..? na ilikuaje akakuhonga..? alikua anataka kitu kwako..?
Hakyababu vile yaani hadi mwenye nyumba aligoma kunipangisha kisa nina EURO
Badili Tabia sema unataka nikuhonge nini..sema fasta kabla sija log out..niki log out...kuhonga utaisikia kwenye bomba..
haahahhhh bora usiitaje, midume ipo macho inataka kuijua. Wanaume wenyewe humu wanajifanya wajaaaanja ila wakiwa kwenye 18 zao wanahonga mpaka tai kwikwikwi