Jicho la Tai JF-Expert Member Oct 10, 2012 1,449 574 Oct 24, 2012 #1 Kuna wakati mtu unaweza ukajikuta unahisi mwili kama unaungua moto. Hii hutokana na nini? na ni namna gani ya kuweza kudhibiti?
Kuna wakati mtu unaweza ukajikuta unahisi mwili kama unaungua moto. Hii hutokana na nini? na ni namna gani ya kuweza kudhibiti?
HoneyBee JF-Expert Member Oct 23, 2012 912 860 Oct 25, 2012 #2 Una umri gani? Jinsia yako? Kama ni mwanamke 35+ inaweza ikawa dalili ya menopause.